Baraka21
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 1,262
- 3,184
Sabaya aliupiga mwingi. Kutoka Hai hadi Arusha.Hatari sana....
Namuonea huruma ndugu yangu Komredi Sabaya....atayafutaje haya huko uraiani?!!!
Daah it's so sad....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sabaya aliupiga mwingi. Kutoka Hai hadi Arusha.Hatari sana....
Namuonea huruma ndugu yangu Komredi Sabaya....atayafutaje haya huko uraiani?!!!
Daah it's so sad....
😲🤣🤣Mkuu mimi si mzanzibari wala sina asili ya huko....Nyie ndiyo wale Mataga wapya kutoka zanzibar a.ka. Mazaga
Tozo iendelee.
HapanaYaani unamaanisha angemsemea kwa RC wake ambaye naye ni mteule wa Rais?
Sawa Mazaga tozo iendelee.😲🤣🤣Mkuu mimi si mzanzibari wala sina asili ya huko....
Jina langu liko pwani na hata Mbeya.....
#KaziIendelee
Duuh kwa hiyo siku mkichukua dola mtatuwinda kama wanyama wakali ?!!ma-ccm ipo siku watajua ni kwa kiasi gani tuna hasira. AISEE NINA HASIRA NA UONGOZI WA KIDUWANZI...
Unanibatiza jina lisilonihusu....haya mkuu tunaendelea kuupiga mwingi na Rais msikivu mh.SSH.....Sawa Mazaga tozo iendelee.
Yaani huyu huyu TISS ambaye naye ni mteule wa Rais? SIJUI KAMA UMEKIELEWA ALICHOMAANISHA HUYO MKUU WA UPELELEZI ARUSHAHapana
Namaanisha angeweza kukata rufaa mpaka kwa Mkurugenzi mkuu [TISS].
Huenda ingesaidia
Haaa Sabaya alikuwa idara zote hawamgusi,mtu anakitambulisho cha usalama,abashitakiwa hakuna hukumu.Hapana
Namaanisha angeweza kukata rufaa mpaka kwa Mkurugenzi mkuu [TISS].
Huenda ingesaidia
Leo una akili bwasheeHatari sana....
Namuonea huruma ndugu yangu Komredi Sabaya....atayafutaje haya huko uraiani?!!!
Daah it's so sad....
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]fa..ll..a weweNyie ndiyo wale Mataga wapya kutoka zanzibar a.ka. Mazaga
Tozo iendelee.
MAZAGA[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji44][emoji1787][emoji1787]Mkuu mimi si mzanzibari wala sina asili ya huko....
Jina langu liko pwani na hata Mbeya.....
#KaziIendelee
Angetemwa kitambo, sio protokali za kipolisi, ameamuruwa na DC wake asingeweza kuvuka mipakaHapana
Namaanisha angeweza kukata rufaa mpaka kwa Mkurugenzi mkuu [TISS].
Huenda ingesaidia
Huyo OC CID ni bonge la mtendaji bora na mtenda haki sana cc GwakissaHuyu polisi Mungu amlinde, tunahitaji polisi wa aina hii. Atakuwa alikerwa na na huyo mshenzi.
Sasa wanaosema Sabaya ameonewa waendelee, huu ushahidi mzito sana
Naona mnanibatiza kabisaaa ha ha ha 🤣🤣MAZAGA[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Vyeo vyakufuta kabisa hivi,MTU una nyota zako unatumikishwa na mhuni mmojaAngetemwa kitambo, sio protokali za kipolisi, ameamuruwa na DC wake asingeweza kuvuka mipaka
🤣🤣Huko nyuma sikuwahi kuongelea ishu ya ndugu yangu kamarade Sabaya ...kwa ukakasi wa kesi yenyewe....Leo una akili bwashee
[emoji38]mkuu. Hata majaliwa mwenyewe hawezi kuongea hovyo na DG wa Tisss. Ni viongozi wachache wenye acesss na huyo jamaa na hata ukiwa nayo ukamsema mtu huko bado DG wa Tiss hana "meno" yeye kazi yake ni kupeleka umbeya kwa rais na ku excute maaagizo ya rais basiHapana
Namaanisha angeweza kukata rufaa mpaka kwa Mkurugenzi mkuu [TISS].
Huenda ingesaidia