Sio tu kwa Sabaya, huwa nawachukia mataga ambao wenzao upinzani wananyanyaswa wao wanashangilia...UTU hauna mbadala wa chama wala itikadi. Tujitahidi kukemea uovu hata kama babako kaufanya[emoji1787][emoji1787]Huko nyuma sikuwahi kuongelea ishu ya ndugu yangu kamarade Sabaya ...kwa ukakasi wa kesi yenyewe....
👍Sio tu kwa Sabaya, huwa nawachukia mataga ambao wenzao upinzani wananyanyaswa wao wanashangilia...UTU hauna mbadala wa chama wala itikadi. Tujitahidi kukemea uovu hata kama babako kaufanya
Tanzanian Gangsters[emoji15] gangs of tanzania
🤣🤣MAZAGA...!!! I LOVE JF
Huelewi maana ya katiba mpya ina create check and balance,inajisimamia mfano wabunge anaweza kataa mswada wa serikali na ukawa hivyo kwani rahisi hawezi kuwaita kwenye kikao kama mwenyekiti wa chama na kuwalazimisha.Hata ikiwepo KATIBA MPYA bado itasimamiwa na wanadamu....
Kubwa ni umuhimu wa umakini katika VETTING kuanzia juu kabisa mpaka chini....
#KaziIendelee
Badilisha kwanza katiba ya chademaHaya ndio ya Sirro na Mbowe.
Wanazidi kuumbuka.
Huu ni ushahidi mwingine wa hii Katiba mbovu tuliyonayo.
Angalau wewe unauona mwanga! Katiba ni kitabu kama vilivyo vingine, kama hii iliyopo haiheshimiwi, hiyo tunayoitaka utekelezaji wake utalindwa na nani?Hata ikiwepo KATIBA MPYA bado itasimamiwa na wanadamu....
Kubwa ni umuhimu wa umakini katika VETTING kuanzia juu kabisa mpaka chini....
#KaziIendelee
Watuletee katibaaaa,watuletee katibaaa,watuletee katibaaa , kwa mwiito wa Gwajiboy.Akitoa ushahidi wa kesi ya Sabaya, Mkuu wa upelelezi amesema alipigiwa simu na aliyekuwa DC wa Arusha Kenani Kihongosi akiniarifu kuwa DC wa Hai ana watuhumiwa hapa Arusha hivyo nimpe ushirikiano.
Mara baada ya kufika ofisini kwangu akiwa na watuhumiwa wawili niliambiwa hawa ni wahujumu uchumi, nikamuomba aandike maelezo, Sabaya akagoma. Niligundua kuna mapungufu kwa mshitakiwa No 1(Sabaya) hivyo sikuweza kufanya lolote kwa kuwa mshitakiwa No 1 alikuwa mteule wa Rais.
Mteule wa Rais aweza vunja sheria badala ya kusimamia sheria na akapoteza ushahidi.
KATIBA INAHITAJIKA?
Nyie mnataka katiba ipi mkuu? Katiba itakayomtaka Rais aingilie Uhuru na utendaji wa mahakama? Katiba itakayomtaka Rais aingilie utendaji wa bunge na kuwaondoa wabunge Kama mnavyotaka kwa Mh. Rais Samia aamuru etii akina Mdee wafukuzwe bungeni?Kwa jibu hili katiba inahitajika. Raisi apunguziwe meno, mahakama iongezewe.
Mjumbe mbona unajiuliuza majibu? Kitu gani huelewi hapo? Polisi anasema hakuridhika na Sabaya, hasa baada ya standard procedure ya kuchukua statement. Ni nini huelewi hapo? Katiba inatoka wapi tena? Sasa hivi Sabaya kashitakiwa, yuko jela, mbona katiba ni hiyo hiyo? Neno mteule haliepukiki, ni lazima atoke Chama Tawala, lisikuume, wewe fuata haki.Akitoa ushahidi wa kesi ya Sabaya, Mkuu wa upelelezi amesema alipigiwa simu na aliyekuwa DC wa Arusha Kenani Kihongosi akiniarifu kuwa DC wa Hai ana watuhumiwa hapa Arusha hivyo nimpe ushirikiano.
Mara baada ya kufika ofisini kwangu akiwa na watuhumiwa wawili niliambiwa hawa ni wahujumu uchumi, nikamuomba aandike maelezo, Sabaya akagoma. Niligundua kuna mapungufu kwa mshitakiwa No 1(Sabaya) hivyo sikuweza kufanya lolote kwa kuwa mshitakiwa No 1 alikuwa mteule wa Rais.
Mteule wa Rais aweza vunja sheria badala ya kusimamia sheria na akapoteza ushahidi.
KATIBA INAHITAJIKA?
wewe unaema uongo na amri za Mungu zipo kwa hiyo Mungu hayupo?Akitoa ushahidi wa kesi ya Sabaya, Mkuu wa upelelezi amesema alipigiwa simu na aliyekuwa DC wa Arusha Kenani Kihongosi akiniarifu kuwa DC wa Hai ana watuhumiwa hapa Arusha hivyo nimpe ushirikiano.
Mara baada ya kufika ofisini kwangu akiwa na watuhumiwa wawili niliambiwa hawa ni wahujumu uchumi, nikamuomba aandike maelezo, Sabaya akagoma. Niligundua kuna mapungufu kwa mshitakiwa No 1(Sabaya) hivyo sikuweza kufanya lolote kwa kuwa mshitakiwa No 1 alikuwa mteule wa Rais.
Mteule wa Rais aweza vunja sheria badala ya kusimamia sheria na akapoteza ushahidi.
KATIBA INAHITAJIKA?
Hahaha[emoji38]mkuu. Hata majaliwa mwenyewe hawezi kuongea hovyo na DG wa Tisss. Ni viongozi wachache wenye acesss na huyo jamaa na hata ukiwa nayo ukamsema mtu huko bado DG wa Tiss hana "meno" yeye kazi yake ni kupeleka umbeya kwa rais na ku excute maaagizo ya rais basi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuuAngetemwa kitambo, sio protokali za kipolisi, ameamuruwa na DC wake asingeweza kuvuka mipaka
like father like son.Akitoa ushahidi wa kesi ya Sabaya, Mkuu wa upelelezi amesema alipigiwa simu na aliyekuwa DC wa Arusha Kenani Kihongosi akiniarifu kuwa DC wa Hai ana watuhumiwa hapa Arusha hivyo nimpe ushirikiano.
Mara baada ya kufika ofisini kwangu akiwa na watuhumiwa wawili niliambiwa hawa ni wahujumu uchumi, nikamuomba aandike maelezo, Sabaya akagoma. Niligundua kuna mapungufu kwa mshitakiwa No 1(Sabaya) hivyo sikuweza kufanya lolote kwa kuwa mshitakiwa No 1 alikuwa mteule wa Rais.
Mteule wa Rais aweza vunja sheria badala ya kusimamia sheria na akapoteza ushahidi.
KATIBA INAHITAJIKA?
Walimlea kama Yai ngoja wayaone...Haaa Sabaya alikuwa idara zote hawamgusi,mtu anakitambulisho cha usalama,abashitakiwa hakuna hukumu.