Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Huyu atakuwa mzandiki.Wewe utakuwa umesikia tu hukusikiliza- endelea kusambaza uongo na uzushi
+ Veronica FranceMama alikuwa anamzungumzia Kigogo.
YeahMama alikuwa anamzungumzia Kigogo.
Simu card fake,majina fake,Nchi MTU alipo sio TZ+ VPN kumpata MTU wa namna huyo kwa TZ ni ngumu sana.Amesema vizuri kuwa kwa Tanzania bado hatujafikia kiwango kizuri cha Teknolojia ya kuwang'amua ila Serikali Itaendelea kuwatafuta.
Unawajua wamarekani wewe au unaongea kujifurahisha?Vipi ww unaweza kukamata tukupe kazi hiyo? USA wenyewe huwa wanashindwa kuwakamata baadhi ya watu ndio itakuwa TZ.
Hajakiri kuwa hawapatikaniki?Amesema vizuri kuwa kwa Tanzania bado hatujafikia kiwango kizuri cha Teknolojia ya kuwang'amua ila Serikali Itaendelea kuwatafuta.
Mama hajamzungumzi kigogo hata kidogo.Mama alikuwa anamzungumzia Kigogo.
+ Veronica France
Kwa hiyo hakamatiki?Mama hajamzungumzi kigogo hata kidogo.
Kuna mtu anaitwa Veronica France yuko FB alitoa taarifa kuwa JK na Rostam ndo wamempa JPM sumu akiwa Morogoro.
Hebu soma tena ulichoandika halafu jipige kifuani mara mbili huku ukisema mimi mjinga.Hii mbona inafikirisha sana, maana kwa dunia hii ya sayansi na teknolojia taifa linakuwa na maadui ambao wanakuja kwa kila namna.
Wapo wanaoonekana na wapo wasioonekana. Kama wapowasionekana ila uzandiki wao unaonekana kupitia mitandao lakini hawakamatiki hilo ni tatizo kubwa.
Kwamba wapo watazua uongo juu ya taifa letu,viongozi na hata kuzuua taharuki lakini sababu wamejificha kupitia sayansi na teknolojia ya kisasa hili ni tatizo.
Mama yako ndia mjinga kupanua mapaja akapelekewa shipaHebu soma tena ulichoandika halafu jipige kifuani mara mbili huku ukisema mimi mjinga.
Hivi nani asiyejua kuwa ukitumia VPN hata TCRA watumie mitambo ya Israel hawakupati?