Mkuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama anakiri hadharani ‘Maadui kupitia mitandao hawakamatiki’

Mkuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama anakiri hadharani ‘Maadui kupitia mitandao hawakamatiki’

Unawajua wamarekani wewe au unaongea kujifurahisha?
Mkuu Kuna mhalifu kule USA anatafutwa kwa muda mrefu. Polisi waliamua kuweka picha yake mitandaoni ili Kama Kuna anayemfahamu asaidie polisi. Matokeo yake huyo jamaa aliwalalamikia polisi kwa kuweka picha yake mbaya na akawatumia picha nzuri na kuwaomba waweke hiyo.
 
Mama alikuwa anamzungumzia Kigogo.
kigogo sio mtu mmoja!

huyu ni watu wengi ila (anaye/wanao)posti (ana/wana)uelewa wa mtandao na jinsi unavyo opareti.

na vyombo vya usalama visiende mbali sana kwani nahisi hao watu wanajichanganya humo humo serikalini. viongozi mpaka watendaji wa ngazi za chini kwenye sekta nyeti!

ndio maana yeye mwenyewe akasema siku akijitokeza watu hawatoamini!
 
Mama anacheza ngoma ya kigogo

20210328_180145.jpg
 
Mama yeye inatakiwa awapongeze Whistleblowers wa Mitandaoni, sio kuwafanya Maadui kama ilivyokuwa kwa Mwendazake.

Hizo sio 'Ngoma' kama anavyoziita, naamini kabisa akina Fatma na Maria Sarungi wanajenga ili tuwe na Nchi nzuri kwa wote.
Hawa uliowataja wanaonekana bila kurunzi.
 
Noma ni kuporomosha matusi ya Nguoni bila sababu
 
Hii mbona inafikirisha sana, maana kwa dunia hii ya sayansi na teknolojia taifa linakuwa na maadui ambao wanakuja kwa kila namna.

Wapo wanaoonekana na wapo wasioonekana. Kama wapo wasionekana ila uzandiki wao unaonekana kupitia mitandao lakini hawakamatiki hilo ni tatizo kubwa.

Kwamba wapo watazua uongo juu ya taifa letu,viongozi na hata kuzuua taharuki lakini sababu wamejificha kupitia sayansi na teknolojia ya kisasa hili ni tatizo.
Mbona Magu alishindwa kumshika Kigogo
 
Hakuna asiyekamatika, niwape lonja tu kuwa huyo mzushaji wa FB anayejiita Veronica France ni Cyprian Musiba, anapotosha jamii sijui kwa faida ya nani wakati mume wake (meko) ameshakufa
Duh, ila mama yetu kasema wanatumia vidude fulani kiasi kwamba inakuwa ngumu kuwakamata.
 
Yaani kama Ingekuwa inawezekana mtu kufa mara mbili ningeomba Mungu hilo jamaa katili lililokuwa likiuwa na kutesa wana wa nchi life tena hta mara tatu.
Siamini kama kifo hichi kimemuuma vizuri nduli hyu punguani. Yaani akifa paka ntasikitika lakin sio kanjanja katili kima jeusi bichwa nanga lile likafie tena mbele huko.
 
Wacha kabisa ujuha aiseee!

Hivi unadhani watu humu JF ni wapumbavu?

Mtu aliyekuwa na mabunduki yote yale, tena ya kuwatishia watu mitaani, Hivyo visindano, sijui vya sumu...!

Sasa sisi ni wajinga kiasi gani kutaka kutuaminisha upuuzi huu?


Hayo mabunduki yalikuwa ni ya maonyesho?

Ataishiaje kufanya maonyesho na asiwe na akili za kujilinda na vijisindano? Tena vijisindano vyenyewe sio vya kuua hapo kwa hapo?

Sema tu hapa unatumia mwanya wa aibu yake. Aibu ya kukubali kwamba COVID-19 ipo Tanzania; maanake isingekuwa hivyo, hata majibu ya vipimo wangekuwekea hapa kuonyesha kwamba "sumu" ni ujinga.

Sasa ni kutaka kupaka watu matope tu wasiyoyastahiri waonekane wabaya na jamii kwa uzushi na uchonganishi tu!
 
Wacha kabisa ujuha aiseee!

Hivi unadhani watu humu JF ni wapumbavu?

Mtu aliyekuwa na mabunduki yote yale, tena ya kuwatishia watu mitaani, Hivyo visindano, sijui vya sumu...!

Sasa sisi ni wajinga kiasi gani kutaka kutuaminisha upuuzi huu?


Hayo mabunduki yalikuwa ni ya maonyesho?

Ataishiaje kufanya maonyesho na asiwe na akili za kujilinda na vijisindano? Tena vijisindano vyenyewe sio vya kuua hapo kwa hapo?
Huna akili ila umedandia mada ili uonekane. Au labda unatafuta wanaume wakuoe
 
Mama hajamzungumzi kigogo hata kidogo.
Kuna mtu anaitwa Veronica France yuko FB alitoa taarifa kuwa JK na Rostam ndo wamempa JPM sumu akiwa Morogoro.

..Rostam alikuwa amejitenga na siasa zetu.

..aliyemtuma Magufuli amrejeshe Rostam ni nani?
 
Back
Top Bottom