HOPECOMFORT
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 3,921
- 6,646
Sidhani kama ni kigogo.... Maswala ya sumu sidhani kama kigogo alisha yasemaMama alikuwa anamzungumzia Kigogo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani kama ni kigogo.... Maswala ya sumu sidhani kama kigogo alisha yasemaMama alikuwa anamzungumzia Kigogo.
Huyu hapa ndio mpishi wa hizo habari.Mama hajamzungumzi kigogo hata kidogo.
Kuna mtu anaitwa Veronica France yuko FB alitoa taarifa kuwa JK na Rostam ndo wamempa JPM sumu akiwa Morogoro.
Duh, hivi ameongea kidhungu?Mh Rais SSH kasema vizuri. Kwa maneno mengine serikali iko kazini kuwa tafuta. Lakini kama wanao uhakika na ushahidi wa wakisemacho wa uweke mezani ufanyiwe kazi. Na hapa ndipo umuhimu ulipo. Unaweza kutaja majina ya watu lakini huwezi kusema walifanikisha vipi hicho unacho jaribu kuwa singizia? Mwisho wa siku inabaki kuwa ni uongo ulikubuhu na umbea.
GREAT THINKER jibu hoja acha matusiMama yako ndia mjinga kupanua mapaja akapelekewa shipa
Leo kaka vero kaliwa kichwa+ Veronica France
Leo wote wameliwa kichwa.Huku kuna Veronica France kule kigogo. Daah nchi ina mambo kweli
Duh, hivi ameongea kidhungu?
Mimi ni mjinga, hebu nipeni ufahamu, eti VPN ni nini?Hebu soma tena ulichoandika halafu jipige kifuani mara mbili huku ukisema mimi mjinga.
Hivi nani asiyejua kuwa ukitumia VPN hata TCRA watumie mitambo ya Israel hawakupati?
SUKUMA CO. & LTDHii mbona inafikirisha sana, maana kwa dunia hii ya sayansi na teknolojia taifa linakuwa na maadui ambao wanakuja kwa kila namna.
Wapo wanaoonekana na wapo wasioonekana. Kama wapo wasionekana ila uzandiki wao unaonekana kupitia mitandao lakini hawakamatiki hilo ni tatizo kubwa.
Kwamba wapo watazua uongo juu ya taifa letu,viongozi na hata kuzuua taharuki lakini sababu wamejificha kupitia sayansi na teknolojia ya kisasa hili ni tatizo.
Si ndie Isidori Mpango mwenyewe au hukuielewa ile ya Kipanya "Mama na Joka"Kigogo hawawezi kumkamata.
+ vigogo wa mitaani wameipata taarifa kiukweli inakera sanaMama alikuwa anamzungumzia Kigogo.
Mkuu unataka kusema hata hio Pegasus haiwezi?mitambo ya Israel hawakupati
Jamani kwa hili la kuongelea umbeya wa mitandaoni nadhani mama yetu ameteleza; tumsamehe bure. Hata mm nimeshangaa sana Amiri Jeshi Mkuu kuongelea jambo jepesi kama lile lakini nadhani ni kwa sababu alikuwa amechoka hivyo akashindwa kuchanganua akili kwa haraka na kuachana nalo.Hii mbona inafikirisha sana, maana kwa dunia hii ya sayansi na teknolojia taifa linakuwa na maadui ambao wanakuja kwa kila namna.
Wapo wanaoonekana na wapo wasioonekana. Kama wapo wasionekana ila uzandiki wao unaonekana kupitia mitandao lakini hawakamatiki hilo ni tatizo kubwa.
Kwamba wapo watazua uongo juu ya taifa letu,viongozi na hata kuzuua taharuki lakini sababu wamejificha kupitia sayansi na teknolojia ya kisasa hili ni tatizo.