Mkuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama anakiri hadharani ‘Maadui kupitia mitandao hawakamatiki’


Exactly. Hawezi tu kuignore mambo yasemwayo mitandaoni? Ni aibu kuona anafatilia mambo hayo. Kwa kweli ni mambo madogo mno kuongelewa na Rais wa nchi. Kila akisimama anaongelea hayo. Hapa Mama ashauriwe, anakosea.

Yani uzushi wa kitoto mitandaoni huko ndio umuumize kichwa Rais wa nchi. Hapana. Hapa Mama ameteleza labda.
 
Hata hao wengine kama lengo ni kufikisha ujumbe kwa ajili ya kiokoa Tanzania yetu ni sawa hata wajifiche

Mimi ananishangaza kila anaposimama anaonyesha kabisa kufatilia na kutamani kucontrol mitandaoni watu wanasema nini. Hii si sawa hata kidogo.
 
Pole sana samia mwenzio Joni alitumia bilioni 7.5 kumtafuta kigogo yaani fedha za wizara zote zimekombwa kumtafuta kigogo tafuta kazi zingine za kufanya!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…