Mkuu wa Wagner asema wakuu wa majeshi ya Urusi wafunguliwe mashtaka kwa ukiukwaji wa haki za kibinadamu

Mkuu wa Wagner asema wakuu wa majeshi ya Urusi wafunguliwe mashtaka kwa ukiukwaji wa haki za kibinadamu

Nishakwambia ulete source za waarabu wenu, kazi yako kuponda source kwenye chochote kinachokuliza.
Huyu jamaa kila habari mbaya inatoka source za West anakataa lakini cha ajabu ikija habari nzuri nzuri za kumfurahisha toka kwenye vyanzo hivyohivyo wala haulizi wala kupinga hiyo habari badala yake anakuja na andiko moja refuuu.

Sent from my Mi 9T using JamiiForums mobile app
 
Na wao walivyo mazezeta wanaendela kurubuniwa na propaganda au tuseme uongo wa kutunga kisomi - Zelensky na jeshi lake na USA wanaendelea kuingizwa mjini na Prog - mfano kuna wakati alijitia kuwafokea majenetali wa Urusi na kijifanya wanajeshi ea Urusi wameshindwa kwenda mbele ndio maana wamehamua kurudi nyuma - Zelensky na USA wakaona hapo hapo huo ndio muda mzuri wa kuanzisha massive counter offensive sasa kilikuja kutokea baadae jeshi la Ukraine ambalo kwa siku za hivi karibuni wengi wao na wanajeshi wa NATO hasa Poland na US wame uwawa kweli kweli na jeshi la Urusi baaada ya kuwawekea mtego wakaingia kichwa wakafyekelewa mbali pamoja na silaha zao nyingi za US kutiwa kiberiti - kuna habari za kuaminika kwamba US inataka kuaongoza NATO wenzake kuishambulia au vamia Urusi katikati ya mwezi huu, Biden amekwisha kata shauri kwamba. ni afadhali NATO washirikiane kuanzisha WW3 dhidi ya Urusi kuliko kuona Urusi ikishinda vita nchini Ukraine, huo ndio uwenda wazimu wa Biden
unapo tupeleka akili zake zinamtuma kwamba anaweza kumshinda Urusi. kivita - akili nyingine bwana taabu tupu.
"inataka kuaongoza NATO wenzake kuishambulia au vamia Urusi katikati ya mwezi huu, Biden amekwisha kata shauri kwamba. ni afadhali NATO washirikiane kuanzisha WW3 dhidi ya Urusi kuliko kuona Urusi ikishinda vita nchini Ukraine, huo ndio uwenda wazimu wa Biden"

Hivi kuna watu wanaamini huu upupu?![emoji3516]

Yani Marekani ivamie taifa lenye silaha za nyuklia kama Urusi?!

Jitafakari Mkuu.

Sent from my Mi 9T using JamiiForums mobile app
 
Huyu jamaa ni jasusi In nature..... anaendelea kuwachezesha .....

Mkiingia kwenye anga zake mmekwishaaa [emoji1][emoji1][emoji1]
Nime watadhalisha west kuhusu ujanja ambao Prog anautumia kuwachota akili jeshi la Ukraine NATO pamoja na USA anawaacha propaganda zake za kisomi/kijasusi ziwafanye unsuspecting western leadership wanameza a bait, hook and the sinker wakisha ingia kumi na nane zake wanafyekelewa mbali na silaha zao na maghara yanayo ifadhi silaha hasa za US kitiwa kiberiti kirahisi sana - vita ya Uktaine imeonyesha mapunguvu makubwa kwenye uwezo wa silaha za Merikani zilizo kuwa zimapigiwa debe na vyombo vya habari vya magharibu karibu Dunia nzima kuhusu uwezo wake na kuziponda silaha za Urusi na Uchina, lakini vita ya Ukraine vimeomyesha mambo mawali tofauti kabisa.

Cha ajabu inaelekea viongozi wa west bado haeajagunduwa kuwa Prog ni jasusi mahili na anawachezea akili anapo jifanya kuwashutumu majenerali wa vita wa Urusi akiwemo waziri wa Ulizi - uzezeta wa westen Media and their intel agencies wana gross misinterpret kwamba bila shaka kuna infight in Putin inner circle leadership wakati haluma kitu kama hicho.- linapokuja suala la ulizi. wa Taifa la Urusi lao moja -hasa ka maadui wanakuwa funded na kupewa mafunzo na USA or UK..
 
Back
Top Bottom