Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Inashangaza sana unaacha kushughulikia maendeleo ya Wananchi kwa sababu ya Wimbo wa Taifa ambao unaimbwa hata uwanja wa taifa watu wakiwa wamelewa.dah sema hii nchi ngumu Sana, zuzu Lili tegemea lisubiriwe kwa muda linao utaka.
Aisee wali tumbue tu, ego nyingine za kiwaki
Basi wamwambie aingie tu ndani watarudia kuimba tena akiwepo.maana mambo mengine hayahitaji nguvu zaidi ya kutumia tu busara. Akigoma tena pia kuingia ndani wamwambie nitakuja kuongoza wilaya hiyo bure kabisa mpaka wananchi wabaki Wanabubujikwa na machozi ya f
Na upuuzi huu inaezekana kufanywa na CCM tu maana wametuona Wananchi sisi ni mazuzu kabisa hakuna Cha kuwafanyaBasi wamwambie aingie tu ndani watarudia kuimba tena akiwepo.maana mambo mengine hayahitaji nguvu zaidi ya kutumia tu busara. Akigoma tena pia kuingia ndani wamwambie nitakuja kuongoza wilaya hiyo bure kabisa mpaka wananchi wabaki Wanabubujikwa na machozi ya furaha muda wote.
Atakua kanuna kaondoka huyo DCBasi wamwambie aingie tu ndani watarudia kuimba tena akiwepo.maana mambo mengine hayahitaji nguvu zaidi ya kutumia tu busara. Akigoma tena pia kuingia ndani wamwambie nitakuja kuongoza wilaya hiyo bure kabisa mpaka wananchi wabaki Wanabubujikwa na machozi ya furaha muda wote.
Ukienda kua mkuu wa wilaya usiniacheBasi wamwambie aingie tu ndani watarudia kuimba tena akiwepo.maana mambo mengine hayahitaji nguvu zaidi ya kutumia tu busara. Akigoma tena pia kuingia ndani wamwambie nitakuja kuongoza wilaya hiyo bure kabisa mpaka wananchi wabaki Wanabubujikwa na machozi ya furaha muda wote.
Aisee. 😂😂😂Kuna wale walikua wanapiga simu kwenye shirika la ndege" nimechelewa ila ndege isiondoke mpaka nifike" basi mtakaaa hapo weeeeh kumbe jitu limepitia kwa mchepuko kwanza kuomba list ya zawadi
Mzalendo Lucas katika ubora wako.Basi wamwambie aingie tu ndani watarudia kuimba tena akiwepo.maana mambo mengine hayahitaji nguvu zaidi ya kutumia tu busara. Akigoma tena pia kuingia ndani wamwambie nitakuja kuongoza wilaya hiyo bure kabisa mpaka wananchi wabaki Wanabubujikwa na machozi ya furaha muda wote.
Piga ua atakua mkristu tu,sijui huchukuliaje vyeo!!Inashangaza sana unaacha kushughulikia maendeleo ya Wananchi kwa sababu ya Wimbo wa Taifa ambao unaimbwa hata uwanja wa taifa watu wakiwa wamelewa.
Siwezi nikakuacha lazizi wangu nitahakikisha unakuwepo hata wakati wimbo wa Taifa unapigwa. Nitakuachaje wakati wewe ndio moyo wangu.Ukienda kua mkuu wa wilaya usiniache
Itachukua karne kupata maendeleo kwa style za hawa nyota ya kijanidah sema hii nchi ngumu Sana, zuzu Lili tegemea lisubiriwe kwa muda linao utaka.
Aisee wali tumbue tu, ego nyingine za kiwaki
Hawa wajinga wanalipwa pesa za bureHii imetokea huko mbulu mkoani manyara hii Leo baada ya mkuu wa Wilaya hiyo kugoma kuingia kwenye mkutano wa Baraza la madiwani kwasababu Madiwani wameimba Wimbo wa Taifa kabla hajaingia.
Kazi kwelikweli nchi hii mambo ni mengi. Hapo tayari ni mgogoro wa DC na DED na madiwani wake. Kisa ni Wimbo wa Taifa.
Huwa mnajisahau mkishapata vyeoSiwezi nikakuacha lazizi wangu nitahakikisha unakuwepo hata wakati wimbo wa Taifa unapigwa. Nitakuachaje wakati wewe ndio moyo wangu.
Analipwa na Kodi za watanzania halafu anainua mabega. Magufuli wakati wake sahizi tunasoma mkeka mtandaoniHawa wajinga wanalipwa pesa za bure