Mkuu wa Wilaya Arusha na mbwembwe za misafara

Mkuu wa Wilaya Arusha na mbwembwe za misafara

TUMESIKIA
Tunalifanyia kazi.mkuu

leo usiku ama.kesho usiku tunakuja na version vi
 
Yani wewe nae ni laana tupu hata kwa jamii yani umeumizwa na magari kuwashwa taa tuu..? haya mfukuzeni hahahaha vijana mnachojua ni majungu tuuu
 
Unafikiri mama hamjui huyu dogo wa kucharaza viboko watu? Anamjua sana, na wengine mafaili yao yapo wazi kwake, shida tu mama anawastahi na kuwapa second chance watu wa Mwendazake. Sina uhakika kama Ali Happi atatoboa kwenye huu utawala
Mh.Salum Ali Hapi ni mzalendo....

Mh.Salum Ali Hapi ni RC wa MARA....

YUPO......

#KaziIendelee
 
Wakati mwingine uwe unauliza sisi wa zamani tunajua ni kamati ya ulinzi na usalama yenye DC ,ocd dso mkuu wa kikosi jwtz uhamiaji magereza takukuru fire na das wanakagua miradi itakayozinduliwa na mwenge wa uhuru.muache kuandika mambo msiyoyajua.
 
Siku nyingine jitahidi upige picha mama yumohumu ndani na anasoma maswala humu
 
Majungu si MTAJI useme utafanikiwa.......

Baadhi ya watu wa ARUSHA NA KILIMANJARO hawawapendi MADC NA MARC wenye misimamo dhidi ya "MADILI YAO"...

Yaani kusikia tu mh.Rais anaandaa "MKEKA WA MADC" basi watu wanajiandaa kuwachafua WENGINE(TARNISHING OF IMAGE)....



#KaziIendelee
Mkuu umekata mzizi wa fitina kabisa hiyo mikoa miwili kila siku ma DC na RC wanaoneka wabaya tu gambo wakati wake alikuwa strong sana na alifanya kazi nzuri sana,hao wafanya biashara na wanasiasa hasa hao wawili ni shida sana wanataka waangaliwe tu kwa chochote wanachotaka hata kama si halali kwa manufaa yao binafsi, suala la Sabaya kuna uwezekano mkubwa kuna watu nyuma yake wameunda hayo mambo busara na umakini unahitajika sana maana kila kukicha watu wanaibuka tu sijui kabla walikuwa wapi.
 
Labda ameona mbali, kwamba hayupo kwenye mkeka! Anaponda raha, kufa kwaja!
 
Kwenye ule mkeka wa mama atarudi kweli huyu

Chondechonde Mhe Rais
Huyu kijana mwenzetu hastahili kabisa kuwepo kwenye mkeka wako wowote ule.
Hivi kweli kabisa kijana mdogo kama huyu kuwachapa watu wazima viboko hadharani ni utawala bora kweli.
Hata huko magereza waliohukumiwa viboko wanachapwa faragha.
Mhe. Rais huyu kijana hana sifa za uongozi kabisa.
Kwanza anamajivuno
Pili anapenda kujichukulia sheria mikononi.
Tatu anadharau kwa viongozi hata watendaji wa chini
Anaonyesha uwezo wake wa kufikiri ni Mdogo Sana ukifuatilia mambo anayofanya.
 
Yani huyu kijana hapo aliwekwa
Kimakosa cjui Nani alimdanganya
Mwenda zake
 
Habarini za Sasa hivi wenzangu!!

Juzi Mh. Rais wakati akiongea na Vijana Mwanza, alisema anaandaa mkeka wa DC's DED's na DAS's wengi ni Vijana. Navyojua 98% ya wanakundi hili ni Vijana tena wasomi.

Nichukue nafasi hii kukutakia kila la heri katika majukumu yako mapya wewe utakayebahatika kuingia kwenye mkeka wa Mama!

Ukipata Usisahau kuwa nilikutabiria[emoji120][emoji120]
 
Huo ni wivu tu mkuu, sasa nimepewa nafasi adhim kama hyo unataka nitembee kimyakimya kisa nini..? Kama lory la askari nitatembea nalo kozi nimepewa dhamana ya kulinda vitu Vingi na yenye thamani ndani ya wilaya.. So maadui hawatokosekana dhidi yangu.
Inaonesha wewe ni moja kati ya Wakuu wa wilaya wanaoteseka sana na Mkeka mpya wa maDC kutoka kwa Mama ambao umesheheni majina mengi ya vijana.
Sasa nasema hivi wewe umezeeka na wakati wako ushapita huu ni wakati wa vijana na Mama yetu..
 
Hahahahaaa!
Huo ni wivu tu mkuu, sasa nimepewa nafasi adhim kama hyo unataka nitembee kimyakimya kisa nini..? Kama lory la askari nitatembea nalo kozi nimepewa dhamana ya kulinda vitu Vingi na yenye thamani ndani ya wilaya.. So maadui hawatokosekana dhidi yangu.
Inaonesha wewe ni moja kati ya Wakuu wa wilaya wanaoteseka sana na Mkeka mpya wa maDC kutoka kwa Mama ambao umesheheni majina mengi ya vijana.
Sasa nasema hivi wewe umezeeka na wakati wako ushapita huu ni wakati wa vijana na Mama yetu..
Hahahahaaaa! Majungu yake yamepata tiba sahihi.
 
Mkuu umekata mzizi wa fitina kabisa hiyo mikoa miwili kila siku ma DC na RC wanaoneka wabaya tu gambo wakati wake alikuwa strong sana na alifanya kazi nzuri sana,hao wafanya biashara na wanasiasa hasa hao wawili ni shida sana wanataka waangaliwe tu kwa chochote wanachotaka hata kama si halali kwa manufaa yao binafsi, suala la Sabaya kuna uwezekano mkubwa kuna watu nyuma yake wameunda hayo mambo busara na umakini unahitajika sana maana kila kukicha watu wanaibuka tu sijui kabla walikuwa wapi.
Mkuu wangu we acha tu kaka....

Hiyo mikoa MIWILI fitna zimejaa mnooo....

#KaziIendelee
 
Angekutandika viboko kama wale wafanyabiashara usingesifia ujinga wake.
 
Mimi nikikutana na misafara yao napisha mbali kabisa mwanzo nilikua nashangaa hata Gambo alivyokua mkuu wa mkoa alikua na msafara baadae aliacha nilishangaa kuona RPC wa mkoa Arusha nae ana ulinzi wa kukimbizwa nikajisemea kwamba tunakoenda kila kiongozi ambae anatakiwa kuwalinda wananchi atakua analindwa yeye kwanza...
 
Back
Top Bottom