Mkuu wa Wilaya Arusha na mbwembwe za misafara

Mkuu wa Wilaya Arusha na mbwembwe za misafara

Ndugu mleta post nipo jijini arusha. DC ni mtu mmoja smart sana. Anafanya kazi zake kwa weledi sana. Anajituma sana ila kama una wivu huwezi kukubali.
Kuhusu kuchapa wanunua viti na meza za shule binafsi nampongeza sana.
Kiti na meza chenye thamani ya elfu 60 hadi laki moja kinauzwa kwa sh elfu 5 kisha wanafunzi wanakaa chini unadhani ni sahihi? Hata wewe unastahili viboko. Aliyekutwa na ngozi ni mwizi...
 
Naam, wewe utakua ni mkazi wa Arusha. Huyu kijana amesaidia wananchi wengi Sana,, bila kujali itikadi zao. Binafsi niliwahi kufika Mara kadhaa ofisini kwake, akifika anawasalimia wananchi kwa nidham huezi amini ni Mkuu wa wilaya. Kuna wanasheria zaidi ya kumi pale ofisini kwake wa kujitolea kwa ajili ya kuwasaidia wananchi yeye ndo naskia anawafadhili. Amekua anafanya semina za ujasiriamali kuwafundisha Wanawake na vijana ujasiriamali.
Nachokiona mh. Mbunge hataki Wala hapendi kuona yule KIJANA anakubalika na kufanya KAZI. Majuzi bila aibu Eti akaitisha kikao Cha bajaji akapanga watu wakumchafua huyu DC. Gambo usipojirekebisha na kufanya hizi siasa zako chafu hatutakuchagua Tena hakika nakuambia.
Gambo ana tabia za uswahilini sana za kufanya majungu. Alimfanyia dc aliyepita majungu mengi na sasa hv naona mwendo ni ule ule kwa dc wa sasa
 
Gambo ana tabia za uswahilini sana za kufanya majungu. Alimfanyia dc aliyepita majungu mengi na sasa hv naona mwendo ni ule ule kwa dc wa sasa
Ashaanza kumbeep na huyu Rc wa sasa hivi, Rc Hana hata mwezi na tunaufahamu utendaji wake wa KAZI ni mzuri maana alikua dc hapa Arusha KABLA yake.
Das wa zamani mwakiposa ni mtu smart lakini Gambo alkua anampeleka mpaka tunamwona hatuendi haki tizama saizi ni mwenyekiti wa bunge. Alimpeleka peleka hovyo Kihamia mpaka wananchi wakamwogopa, madeni, Daqaro, YAni sijui anampenda kiongozi GANI.
 
Tulio pata bahati ya kuona awamu ya kwanza huu ujinga haukuwepo kabisa.
Nasikia Mandela aliwahi kuzungumzia jinsi alivyoenda kupokewa airport na Mwalimu. Mwalimu alikuwa anajiendesha. Mwalimu alikuwa anacheza bao na jirani zake. Wananchi walikuwa huru kutumia barabara zote zinazo zunguka Ikulu wakati wowote. Tumetoka mbali.

Amandla...
 
Nimetazama hii video kidogo tu nikashindwa kuendelea...jamani tuelezane ukweli, hii tabia ya kishenzi ya kuwadhalilisha wananchi imetoka wapi?

Najua hawa vijana wanaoteuliwa wanatokea huko huko UVCCM, je ni huko ndiko wanalelewa na kuwa kama wanyama wa porini kwa jinsi walivyokosa malezi bora, duh!

Halafu kwa ujeuri hajali anachukuliwa kwenye video! Ni kama vile anajua hiyo video itamuongezea CV akaweza kupanda zaidi labda na kuteuliwa kuwa mkuu wa mkoa!

View attachment 1822087

Asante Mungu kwa kutuepusha japo kwa muda na hili wimbi la ukatili na mateso lililotuandama kwa miaka mitano!

Unamkuta polisi na nyota zake eti anatii maagizo ya vijana wakora kama hawa na kuwaumiza wananchi hadi ndugu zake wa kuzaliwa!

Unamkuta hakimu kwa maagizo kutoka juu na bila kujali miiko yake ya kazi anatoa hukumu kwa kesi si za hovyo tu bali na za kubambikiza!

Na hivyo hivyo katika taasisi zote za serikali ambako ungetegemea kupata ulinzi, haki na usalama kama mwananchi...hakika tulifikia pabaya!
Daah! Kuchapana bakora watu wazima!! Hii mbaya sana mazee
 
Naam, wewe utakua ni mkazi wa Arusha. Huyu kijana amesaidia wananchi wengi Sana,, bila kujali itikadi zao. Binafsi niliwahi kufika Mara kadhaa ofisini kwake, akifika anawasalimia wananchi kwa nidham huezi amini ni Mkuu wa wilaya. Kuna wanasheria zaidi ya kumi pale ofisini kwake wa kujitolea kwa ajili ya kuwasaidia wananchi yeye ndo naskia anawafadhili. Amekua anafanya semina za ujasiriamali kuwafundisha Wanawake na vijana ujasiriamali.
Nachokiona mh. Mbunge hataki Wala hapendi kuona yule KIJANA anakubalika na kufanya KAZI. Majuzi bila aibu Eti akaitisha kikao Cha bajaji akapanga watu wakumchafua huyu DC. Gambo usipojirekebisha na kufanya hizi siasa zako chafu hatutakuchagua Tena hakika nakuambia.

Hata Sabaya walimwonea wivu hivi hivi
 
Heshima sana wanajamvi,

Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mjini ni kijana mdogo lakini mwenye mbwembwe nyingi na vituko vya ujana uliopitiliza.Katika siku za karibu amekuwa na tabia ya kusindikizwa na gari la polisi ikiambatana na ving'ora vingi pengine ungefikiri kuna mgonjwa wa Covid 19 anakimbizwa Hospital kuwahi huduma za kitabibu.

Mwezi uliopita kama kumbukumbu zangu zipo sana alizindua mradi mdogo {mradi uchwara} wa kufyatua matofali wa halmashauri ya Jiji la Arusha.Huo msafari ungefikiri anakwenda kuzindia kinu cha Nyuklia gari zilikuwa zinakimbizwa,ving'ora na taa za magari yote zikiwashwa full light.Tutakae tukubali Vijana wakipewa madaraka kidogo wanaharibu sana,wanaumiza wananchi sana,wanatumia madaraka vibaya sana bahati mbaya Mkuu wa Wilaya ya Arusha yumo katika kundi hilo.

Mwaka jana alishiriki zoezi la kuwachapa viboko wafanyabiashara kwa madai ya kununua thamani za shule.DC kawa mpelelezi,akajivika ujaji na mwisho wa siku akamalizia kudhalilisha wananchi pasipo uchunguzi wa haki.
Pombe alimteua kwa sababu ya hizo tabia. Ndio kilikuwa kigezo chake
 
Heshima sana wanajamvi,

Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mjini ni kijana mdogo lakini mwenye mbwembwe nyingi na vituko vya ujana uliopitiliza.Katika siku za karibu amekuwa na tabia ya kusindikizwa na gari la polisi ikiambatana na ving'ora vingi pengine ungefikiri kuna mgonjwa wa Covid 19 anakimbizwa Hospital kuwahi huduma za kitabibu.

Mwezi uliopita kama kumbukumbu zangu zipo sana alizindua mradi mdogo {mradi uchwara} wa kufyatua matofali wa halmashauri ya Jiji la Arusha.Huo msafari ungefikiri anakwenda kuzindia kinu cha Nyuklia gari zilikuwa zinakimbizwa,ving'ora na taa za magari yote zikiwashwa full light.Tutakae tukubali Vijana wakipewa madaraka kidogo wanaharibu sana,wanaumiza wananchi sana,wanatumia madaraka vibaya sana bahati mbaya Mkuu wa Wilaya ya Arusha yumo katika kundi hilo.

Mwaka jana alishiriki zoezi la kuwachapa viboko wafanyabiashara kwa madai ya kununua thamani za shule.DC kawa mpelelezi,akajivika ujaji na mwisho wa siku akamalizia kudhalilisha wananchi pasipo uchunguzi wa haki.
Reincarnation ya Sir buyer

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Heshima sana wanajamvi,

Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mjini ni kijana mdogo lakini mwenye mbwembwe nyingi na vituko vya ujana uliopitiliza.Katika siku za karibu amekuwa na tabia ya kusindikizwa na gari la polisi ikiambatana na ving'ora vingi pengine ungefikiri kuna mgonjwa wa Covid 19 anakimbizwa Hospital kuwahi huduma za kitabibu.

Mwezi uliopita kama kumbukumbu zangu zipo sana alizindua mradi mdogo {mradi uchwara} wa kufyatua matofali wa halmashauri ya Jiji la Arusha.Huo msafari ungefikiri anakwenda kuzindia kinu cha Nyuklia gari zilikuwa zinakimbizwa,ving'ora na taa za magari yote zikiwashwa full light.Tutakae tukubali Vijana wakipewa madaraka kidogo wanaharibu sana,wanaumiza wananchi sana,wanatumia madaraka vibaya sana bahati mbaya Mkuu wa Wilaya ya Arusha yumo katika kundi hilo.

Mwaka jana alishiriki zoezi la kuwachapa viboko wafanyabiashara kwa madai ya kununua thamani za shule.DC kawa mpelelezi,akajivika ujaji na mwisho wa siku akamalizia kudhalilisha wananchi pasipo uchunguzi wa haki.
Ujana siyo tatizo, tatizo ni poor vetting
 
Heshima sana wanajamvi,

Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mjini ni kijana mdogo lakini mwenye mbwembwe nyingi na vituko vya ujana uliopitiliza.Katika siku za karibu amekuwa na tabia ya kusindikizwa na gari la polisi ikiambatana na ving'ora vingi pengine ungefikiri kuna mgonjwa wa Covid 19 anakimbizwa Hospital kuwahi huduma za kitabibu.

Mwezi uliopita kama kumbukumbu zangu zipo sana alizindua mradi mdogo {mradi uchwara} wa kufyatua matofali wa halmashauri ya Jiji la Arusha.Huo msafari ungefikiri anakwenda kuzindia kinu cha Nyuklia gari zilikuwa zinakimbizwa,ving'ora na taa za magari yote zikiwashwa full light.Tutakae tukubali Vijana wakipewa madaraka kidogo wanaharibu sana,wanaumiza wananchi sana,wanatumia madaraka vibaya sana bahati mbaya Mkuu wa Wilaya ya Arusha yumo katika kundi hilo.

Mwaka jana alishiriki zoezi la kuwachapa viboko wafanyabiashara kwa madai ya kununua thamani za shule.DC kawa mpelelezi,akajivika ujaji na mwisho wa siku akamalizia kudhalilisha wananchi pasipo uchunguzi wa haki.
Wewe mrisho Gambo tulia. Chapa kazi huko bungeni, muache kijana achape kazi
 
Huyu anahamishiwiwa Wilaya za Pembezoni akajifunze Uongozi
 
Back
Top Bottom