Mkuu wa Wilaya Arusha na mbwembwe za misafara

Mkuu wa Wilaya Arusha na mbwembwe za misafara

Naam, wewe utakua ni mkazi wa Arusha. Huyu kijana amesaidia wananchi wengi Sana,, bila kujali itikadi zao. Binafsi niliwahi kufika Mara kadhaa ofisini kwake, akifika anawasalimia wananchi kwa nidham huezi amini ni Mkuu wa wilaya. Kuna wanasheria zaidi ya kumi pale ofisini kwake wa kujitolea kwa ajili ya kuwasaidia wananchi yeye ndo naskia anawafadhili. Amekua anafanya semina za ujasiriamali kuwafundisha Wanawake na vijana ujasiriamali.
Nachokiona mh. Mbunge hataki Wala hapendi kuona yule KIJANA anakubalika na kufanya KAZI. Majuzi bila aibu Eti akaitisha kikao Cha bajaji akapanga watu wakumchafua huyu DC. Gambo usipojirekebisha na kufanya hizi siasa zako chafu hatutakuchagua Tena hakika nakuambia.
Ni kweli mkuu nashangaa sana nikiona watu wakimsema vibaya.
Jambo lingine lililonifurahisha kwenye ziara zake wakati wa kutatua kero za wananchi, wakati mwananchi anapewa maiki aseme tatizo lake alikuwa akiwakemea wale wanaoanza kusifia ccm ndipo waseme matatizo yao.
Alikuwa akiwaambia, (hapa hatupo kwenye mkutano wa ccm! Sema shida yako tukusaidie).
Kuna ziara tulienda nae kule Kimandolu kwenye soko moja sasa yule mkuu wa soko akamleta kibega mmoja ambaye inasemekana aba tabia ya kupora mizigo ya watu sokoni, huyo kibega akaanza kujitetea kwa mkuu wa wilaya ila mwisho mkuu wa wilaya akamkabidhi kwa mkuu huyohuyo wa soko akamwambia huyu kwa kuwa ameomba msamaha, namuacha kwako uwe mwangalizi wake. Akiiba tena mlete kwangu au nipigie simu nitume gari la polisi.

Kuna migogoro mingi ametatua mbele ya macho yangu mpaka nikafikiria serikali ilikuwa wapi muda wote?
Migogoro mingine mingi ilikuwa ndani ya ofisi aliyopokea kutoka kwa mkuu wa wilaya aliyepita ila yeye aliishughulikia kikawaida kabisa na ana kawaida ya kwenda kwenye eneo lenye mgogoro.

Wakuu wengine wanapambana kutatua matatizo ya wananchi wakiwa kwenye ofisi zao lakini huyu wa Arusha anaenda sehemu husika akiwa na viongozi wote wa ngazi ya chini
 
Kwakweli huyu mkuu wa wilaya ya Arusha simjui vizuri ila ni mtu poa sana.

Nakumbuka mwishoni mwa mwaka jana alitusaidia kupata mafao yetu NSSF baada ya kusumbuliwa karibia mwaka mzima.
Nnachokumbuka tulimfata siku moja tuna akatuambia turudi baada ya siku 3, na tulivyorudi aliondoka na sisi hadi kwenye ofisi za nssf pale Arusha na akaingia na sisi hadi ndani, akakagua computer za pale kwa sababu tulimweleza namna tunavyopigwa danadana muda mrefu bila majibu ya kueleweka....
Meneja alijitahidi kujitetea kwa uongo mwingi lakini kupitia mkuu huyu wa wilaya tulipata mafao yetu bila kuchelewa.

Kumbuka tulikua wengi hivyo alitusaidia sana
Namkubali sana maana amesaidia watu wengi kuanzia waliodhulumiwa maeneo yao, migogoro ya kifamilia na mengine mengi... Kwakweli nilimkubali hadi nikawa nahudhuria kwenye ziara zake za kusikiliza kero za wananchi.

Yule aliyekuwepo kabla yake tulimfata akatufukuza na maneno mbovumbovu bahati nzuri hakumaliza mwezi akaondolewa ndio akaletwa aliyepo sasa.
I
Unachukua mafao saa hizi halafu ukizeeka unakuja kusumbua kwamba Vijana hawatunzi wazee
 
Ni kweli mkuu nashangaa sana nikiona watu wakimsema vibaya.
Jambo lingine lililonifurahisha kwenye ziara zake wakati wa kutatua kero za wananchi, wakati mwananchi anapewa maiki aseme tatizo lake alikuwa akiwakemea wale wanaoanza kusifia ccm ndipo waseme matatizo yao.
Alikuwa akiwaambia, (hapa hatupo kwenye mkutano wa ccm! Sema shida yako tukusaidie).
Kuna ziara tulienda nae kule Kimandolu kwenye soko moja sasa yule mkuu wa soko akamleta kibega mmoja ambaye inasemekana aba tabia ya kupora mizigo ya watu sokoni, huyo kibega akaanza kujitetea kwa mkuu wa wilaya ila mwisho mkuu wa wilaya akamkabidhi kwa mkuu huyohuyo wa soko akamwambia huyu kwa kuwa ameomba msamaha, namuacha kwako uwe mwangalizi wake. Akiiba tena mlete kwangu au nipigie simu nitume gari la polisi.

Kuna migogoro mingi ametatua mbele ya macho yangu mpaka nikafikiria serikali ilikuwa wapi muda wote?
Migogoro mingine mingi ilikuwa ndani ya ofisi aliyopokea kutoka kwa mkuu wa wilaya aliyepita ila yeye aliishughulikia kikawaida kabisa na ana kawaida ya kwenda kwenye eneo lenye mgogoro.

Wakuu wengine wanapambana kutatua matatizo ya wananchi wakiwa kwenye ofisi zao lakini huyu wa Arusha anaenda sehemu husika akiwa na viongozi wote wa ngazi ya chini
Sasa mh. Mbunge hapendi akimwona anafanya KAZI. Mimi niliwahi kukuta kikundi Cha watu pale ofisini wanalalamika kuonewa na kukosa haki zao kisa wao ni CHADEMA, kistaarabu akawatuliza akawaambia SERIKALI ipo kuhudumia wananchi wote bila kujali itikadi zao, na akamwita mwanasheria pale ofisini kwake awahudumie wale wananchi. Mnyongee mnyongeni lakini haki yake moeni
 
Kwani ule mkeka wa mama unatoka usiku wa sangapi ili mpunguziwe adha hiyo
 
Mkeka unamaliziwa soon pdf itashushwa
 
Naam, wewe utakua ni mkazi wa Arusha. Huyu kijana amesaidia wananchi wengi Sana,, bila kujali itikadi zao. Binafsi niliwahi kufika Mara kadhaa ofisini kwake, akifika anawasalimia wananchi kwa nidham huezi amini ni Mkuu wa wilaya. Kuna wanasheria zaidi ya kumi pale ofisini kwake wa kujitolea kwa ajili ya kuwasaidia wananchi yeye ndo naskia anawafadhili. Amekua anafanya semina za ujasiriamali kuwafundisha Wanawake na vijana ujasiriamali.
Nachokiona mh. Mbunge hataki Wala hapendi kuona yule KIJANA anakubalika na kufanya KAZI. Majuzi bila aibu Eti akaitisha kikao Cha bajaji akapanga watu wakumchafua huyu DC. Gambo usipojirekebisha na kufanya hizi siasa zako chafu hatutakuchagua Tena hakika nakuambia.

Eeeh wanapambana wenyewe Kwa wenyewe?
Siyo upinzani tena?
 
Kwakweli huyu mkuu wa wilaya ya Arusha simjui vizuri ila ni mtu poa sana.

Nakumbuka mwishoni mwa mwaka jana alitusaidia kupata mafao yetu NSSF baada ya kusumbuliwa karibia mwaka mzima.
Nnachokumbuka tulimfata siku moja tuna akatuambia turudi baada ya siku 3, na tulivyorudi aliondoka na sisi hadi kwenye ofisi za nssf pale Arusha na akaingia na sisi hadi ndani, akakagua computer za pale kwa sababu tulimweleza namna tunavyopigwa danadana muda mrefu bila majibu ya kueleweka....
Meneja alijitahidi kujitetea kwa uongo mwingi lakini kupitia mkuu huyu wa wilaya tulipata mafao yetu bila kuchelewa.

Kumbuka tulikua wengi hivyo alitusaidia sana
Namkubali sana maana amesaidia watu wengi kuanzia waliodhulumiwa maeneo yao, migogoro ya kifamilia na mengine mengi... Kwakweli nilimkubali hadi nikawa nahudhuria kwenye ziara zake za kusikiliza kero za wananchi.

Yule aliyekuwepo kabla yake tulimfata akatufukuza na maneno mbovumbovu bahati nzuri hakumaliza mwezi akaondolewa ndio akaletwa aliyepo sasa.
Proved; "to every action there is equal and opposite re-action". Kama dogo anapiga kazi namna hi na kutatua matatizo ya wananchi na wala hawatesi Watanzania then kuna ubaya gani?
 
""""IPO haja ma DC kupunguziwa baadhi ya meno yao, kwani yapo ya kipuuzi mno,NGUVU YA DC NA NGUVU YA MAMLAKA YA POLISI IWE SAWA SAWA,(YAANI KATIKA MAMBO YAO MBALIMBALI WASHAURIANE NA ISIWE DCs ORDER..!""""
 
Chalamila pia kasumbua sana na vimisafara misafara, kabla sikuwahi shuhudia hayo.
 
""""IPO haja ma DC kupunguziwa baadhi ya meno yao, kwani yapo ya kipuuzi mno,NGUVU YA DC NA NGUVU YA MAMLAKA YA POLISI IWE SAWA SAWA,(YAANI KATIKA MAMBO YAO MBALIMBALI WASHAURIANE NA ISIWE DCs ORDER..!""""
Haiti keizas kimoleta ni mpaka katiba mkuu wangu
Chalamila pia kasumbua sana na vimisafara misafara, kabla sikuwahi shuhudia hayo.
Mwacheni dogo apige kazi
 
Kwakweli huyu mkuu wa wilaya ya Arusha simjui vizuri ila ni mtu poa sana.

Nakumbuka mwishoni mwa mwaka jana alitusaidia kupata mafao yetu NSSF baada ya kusumbuliwa karibia mwaka mzima.
Nnachokumbuka tulimfata siku moja tuna akatuambia turudi baada ya siku 3, na tulivyorudi aliondoka na sisi hadi kwenye ofisi za nssf pale Arusha na akaingia na sisi hadi ndani, akakagua computer za pale kwa sababu tulimweleza namna tunavyopigwa danadana muda mrefu bila majibu ya kueleweka....
Meneja alijitahidi kujitetea kwa uongo mwingi lakini kupitia mkuu huyu wa wilaya tulipata mafao yetu bila kuchelewa.

Kumbuka tulikua wengi hivyo alitusaidia sana
Namkubali sana maana amesaidia watu wengi kuanzia waliodhulumiwa maeneo yao, migogoro ya kifamilia na mengine mengi... Kwakweli nilimkubali hadi nikawa nahudhuria kwenye ziara zake za kusikiliza kero za wananchi.

Yule aliyekuwepo kabla yake tulimfata akatufukuza na maneno mbovumbovu bahati nzuri hakumaliza mwezi akaondolewa ndio akaletwa aliyepo sasa.

Umeshasema humjui vizuri ,ila ni mtu poa tu.Humjui halafu ni mtu poa Sijui kama atakulipa kazi yako mbovu.

Mkuu wa Wilaya na malipo ya NSSF wapi na wapi.Wafuatiliaji wa mafao wanapata taabu kwasababu fedha za Mifuko yote ya hifadhi ya jamii zilitumika vibaya au tuseme uwekezaji usiokuwa na tija.

Ikiwa mpaka leo unafikiri nguvu ya DC itakuwezesha kupata mafao yako hakika bado upo dunia nyingine.
 
Umeshasema humjui vizuri ,ila ni mtu poa tu.Humjui halafu ni mtu poa Sijui kama atakulipa kazi yako mbovu.

Mkuu wa Wilaya na malipo ya NSSF wapi na wapi.Wafuatiliaji wa mafao wanapata taabu kwasababu fedha za Mifuko yote ya hifadhi ya jamii zilitumika vibaya au tuseme uwekezaji usiokuwa na tija.

Ikiwa mpaka leo unafikiri nguvu ya DC itakuwezesha kupata mafao yako hakika bado upo dunia nyingine.
Kama yeye aliweza kufanya kazi waliyoshindwa kufanya wahusika kwanini nisiseme?

Acheni roho mbaya
 
Sasa mh. Mbunge hapendi akimwona anafanya KAZI. Mimi niliwahi kukuta kikundi Cha watu pale ofisini wanalalamika kuonewa na kukosa haki zao kisa wao ni CHADEMA, kistaarabu akawatuliza akawaambia SERIKALI ipo kuhudumia wananchi wote bila kujali itikadi zao, na akamwita mwanasheria pale ofisini kwake awahudumie wale wananchi. Mnyongee mnyongeni lakini haki yake moeni
Wanaosema hafai ni wivu tu
 
I
Unachukua mafao saa hizi halafu ukizeeka unakuja kusumbua kwamba Vijana hawatunzi wazee
Jikite kwenye hoja mkuu. Kumbuka hatukuwa tumeajiriwa serikalini bali kwenye kampuni ya ujenzi
 
Kama yeye aliweza kufanya kazi waliyoshindwa kufanya wahusika kwanini nisiseme?

Acheni roho mbaya

Nadhani ulistahili kuondolewa kazini kwasababu hujui unachobishania.

Mifuko yote ya hifadhi ya jamii ipo hoi bin taabani.Wana struggle kulipa wanachama wake kwakuwa hawana fedha za kutosha.

Ukitazama kinachoendelea ni delay tactic mnazungushwa kidogo muda unakwenda huku wakisubiri michango ya wanachama walio katika ajira wakilipwa ndio na mnafikiriwa kwa mbaaali kulipwa narudia tena si nguvu ya DC ni ukata unaoikumba mifuko yote na msababishaji Mkuu ni Serekali ambayo imechota fedha bila kurejesha.
 
Back
Top Bottom