Mkuu wa Wilaya Arusha na mbwembwe za misafara

Huyo jamaa Hana sifa za uongozi .Sina chuki nae lakini uongozi hawezi
 
Huyo ni mmoja wa ma DC wajinga sana walioteuliwa na mwendazake.
 
Acha wivu, tafuta shughuli ufanye. kukosa kwako shughuli ndo kunakufanya uwaonee wanaume wenzio wivu na kuanza kupika majungu. Nakushauri nenda kauze hata njugu hutopata muda wa kuleta umbea humu.
W
Huyo ni mmoja wa ma DC wajinga sana walioteuliwa na mwendazake.

Sifa yake kubwa ilikuwa nadhiri ya kuondoa uhai wa Zitto.
 
Unafikiri mama hamjui huyu dogo wa kucharaza viboko watu? Anamjua sana, na wengine mafaili yao yapo wazi kwake, shida tu mama anawastahi na kuwapa second chance watu wa Mwendazake. Sina uhakika kama Ali Happi atatoboa kwenye huu utawala
Alipata uteuzi kwa kutaka
Unafikiri mama hamjui huyu dogo wa kucharaza viboko watu? Anamjua sana, na wengine mafaili yao yapo wazi kwake, shida tu mama anawastahi na kuwapa second chance watu wa Mwendazake. Sina uhakika kama Ali Happi atatoboa kwenye huu utawala

Alipata uteuzi baada ya kutamka hadharani kuwa Mbunge aliyeshawishi Benki ya Dunia kusimamisha mkopo kwa nchi yetu anastahili kuuwawa! Hizo ndizo roho zilizokuwa zinatakiwa katika uongozi wa nchi! Swali je, kijana mdogo hivi akiachishwa uongozi anakwenda wapi? Vijana wajifunze kujiendeleza kimaisha kabla ya kuingia siasa.
 
Kale kakijana mbina kanaonekana kastaarabu, kwani naye kichwa ishaanza ota pembe!!!
 
Sema katika viongozi vijana hapa Arusha ambao naona Wana afadhali ni huyu Kihongosi ,anajitahidi kuchapa kazi,kusimamia na kutatua kero za wananchi kwa upande wangu naona hana noma ni mtu poa hata ukikaa nae.
 

Naye ni mmoja kati ya wale wa miaka ya 80?
 
System vs personalities
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…