Tetesi: Mkuu wa Wilaya Mpya wa Kisarawe ni "Mtoto" wa Rais Magufuli

Sisi tunaangalia theme ya andiko. Lengo la andiko ni kumchafua mtu.

Wewe unamfahamu. Wengine unadhani wanaweza ondoka na maana gani. Tunatakiwa kuwa positive nchi yetu bado changa sana na maskini.
Hii nchi kila siku mnasema bado changa lini itakuwa basi kila kukicha changa uchanga huu wapi hasa
 
Watu wangejua anachokifanya huyu mkuu wa wilaya ya Kisarawe, wasingepoteza muda kumsifu humu JF.
 
Mtoa uzi una wivu kinomaa....unatakiwa kuwalaumu walionyuma ya mfumo wako wa maisha sio blabla...ungepewa wewe hiyo nafasi ungekataa..
 
Nafasi za uongozi wa serikali wanatakiwa wapewe wachapa kazi, sio watu wanaokwenda kuonea raia kwa kuwadhulumu ardhi zao na kuwapa wafugaji wenye pesa.
 
Akiwa mtoto wa Magufuli kuna shida ipi????? Kwani ulitaka akae nyumbani bila kazi wakati elimu anayo!!!!

Mbona hujawahi kukosoa baba yako alipolala bar akinywa????
 

Poleni sana jamani ndiyo viongozi wetu hawa, nashauri wananchi wafungue kesi mahakamni.
 
Poleni sana jamani ndiyo viongozi wetu hawa, nashauri wananchi wafungue kesi mahakamni.
Wananchi wa kawaida vijijini ni waoga sana, wanawaona viongozi kama 'simba' wala watu.
Hawawezi kuongea chochote mbele ya wakuu wa wilaya.
Viongozi wa kijiji wamepeleke malalamiko yao kwa mkuu wa wilaya yao ya Kibaha lakini wamekwama.
Mkuu wa wilaya ya Kisarawe ni 'mkuu' kuliko wakuu wenzake wa wilaya nyinginezo..!!!
 

Kuna wale watu wanajiita haki ardhi tafuteni no zao.
 
Tupe ansyoyafanya nasi tuyajue ndo raha ya JF
Angalia post yangu number 395 hapo juu, pamoja na post zilizofuata utaona..

Na ni zaidi ya hapo. Ukabila pia ndio balaa.
Kule Kisarawe wafugaji wa kabila 'lao' wanafanya hujuma kwa wakulima wa kijiji jirani bila wasi wasi wowote.
Wamepora ardhi ya kijiji jirani, wamejimilikisha ardhi hiyo, na mkuu huyo wa wilaya anafahamu, na hachukui hatua yoyote ile.
Juzi kati, wafugaji hao wa kabila 'lao' wamejipa mamlaka ya kupora eneo la kijiji jirani, na 'kulihamishia' kijiji kwao Mafizi huku mkuu wa wilaya huyo 'akibariki' zoezi hilo.
Wafugaji hao sasa ni 'untouchable', wanafanya hujuma kubwa kwa wakulima bila kujali vyombo vya dola, na ripoti zikipelekwa, wafigaji hao wanalindwa na mkuu wa wilaya.. !!
 
Acheni wivu binti kasoma nyie mliogopa umande, Kudos Happiness kwa bidii yako ya kusoma na kuchapa kazi, wenye gere waangalie watoto wa Trump wanavyopewe nafasi sembuse nchi za Afrika!!
 
Kumekucha...Ng'ata ung'atwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…