Tetesi: Mkuu wa Wilaya Mpya wa Kisarawe ni "Mtoto" wa Rais Magufuli

Tetesi: Mkuu wa Wilaya Mpya wa Kisarawe ni "Mtoto" wa Rais Magufuli

Muullize Kaguta Musseveni anajua zaidi ya hapo.
Hii ndiyo shida, tunajadili issue serious with some less intelligent persons. Huwezi kuacha kuhojiwa na kujadiliwa kama unateua ndugu zako katika nafasi hasa za kisiasa. For those who are in support of this nepotism, they should get the facts right.
 
Kama ni ndugu, na wewe ni mkuu wa idara au kampuni, unachotakiwa ni ku-declaire interest. Baada ya hapo hutahusika katika jambo lolote katika mchakato wa ajira ya huyo ndugu yako. Labda kama hiyo kampuni ni ya kwako binafsi, hapo unaweza tu kutoa maelekezo kuwa huyo ndugu yako akae wapi. Hakuna atakayekuuliza maana hata akiboronga, hasara ni yako binafsi.
mkuu Huyo Ndugu yake 1987 lazima atajisahau tu na kulewa madaraka tena amepewa wilaya isiyo na maendeleo ni wilaya ya wajuaji wengi atakumbana na changamoto kibao sie tupo tutaona juhudi zake.
 
Mara baada ya uteuzi wa wakuu wa Wilaya uliofanyika na kutangzwa leo, jamii imeanza kuwachambua na kujuwa historia zao na ushiriki wao katika kumasaidia kazi Mh Rais.

Wananchi wamekuwa na shauku ya kumfahamu na kuelewa historia ya Mkuu wao mpya wa Wilaya Mh. Happy es Senenda William. Kabla ya kuwa DC wa Kisarawe tunaambiwa dada huyu alikuwa Manager wa HR wa TANROADS Mkoa wa Tanga, ni mdada mdogo mwenye elimu ya Masters. Mwaka 2010 aligombea ubunge viti maalumu kupitia mkoa wa Geita lakini hakufanikiwa, mwaka 2015 alipumzika ili kuzunguka na baba kumtafutia kura

Habari zinazidi kupenyeza kuwa Mh.Happyness William ni mtoto wa kulelewa na Rais JPM, amesomeshwa na Rais na amekuwa akiishi na JPM kwa maisha yake mpaka alipopata kazi. Kifupi Mh.Happyness ni "mtoto" wa JPM na kwa sasa ni DC wa Kisarawe

Ama hakika huu ni msimu wa vijana...Vijana mjiibidishe ili muonekane na mpate Wilaya au Mkoa.
Kwa hiyo hii serikali imekuwa ni ya kifalme yaani kupeana vyeo kwa undugu?
 
Kwahio kama amemlea na anazo sifa za kuteuliwa basi aachwe?
Hiyo siyo ajabu ndio maana hata m7 kampatia uwaziri mkewe na mwanawe kampatia ukuu wa majeshi,hongereni sana serikali
 
we nae unamsemea kama nani?? we umejuaje kama atafanya ndivyo sivyo?? unauhakika gani kama atadhulumu?? tupunguzeni wivu acheni watu wafanye kazi
wivu upi? Hakuna cha wivu wala nini mleta mada hakuwa na wivu wala nia mbaya Bali kaanika ukweli kuwa Huyo ni Ndugu wa magu akiwa na nia ya kutegemea ufanisi toka kwake wali si zaidi .
 
Hiyo siyo ajabu ndio maana hata m7 kampatia uwaziri mkewe na mwanawe kampatia ukuu wa majeshi,hongereni sana serikali
mseveni na Kagame ni marafiki wakubwa wa magu hivyo lazima a-copy mengi toka kwao.
 
Isitoshe sio baba yake wa kumzaa shida iko wapi hapo?. Tatizo tunalolikataa wananchi ni kubeba mtu asiyebebeka...huyo dada anayo elimu nzuri tu...
Kwa mtazamo wako huyo ndiye msomi wa hali ya juu hapa tanzania?kuna wasomi wangapi wapo mitaani na vyeti vyao bila kujua ni lini watapata ajira?
 
Mara baada ya uteuzi wa wakuu wa Wilaya uliofanyika na kutangzwa leo, jamii imeanza kuwachambua na kujuwa historia zao na ushiriki wao katika kumasaidia kazi Mh Rais.

Wananchi wamekuwa na shauku ya kumfahamu na kuelewa historia ya Mkuu wao mpya wa Wilaya Mh. Happy es Senenda William. Kabla ya kuwa DC wa Kisarawe tunaambiwa dada huyu alikuwa Manager wa HR wa TANROADS Mkoa wa Tanga, ni mdada mdogo mwenye elimu ya Masters. Mwaka 2010 aligombea ubunge viti maalumu kupitia mkoa wa Geita lakini hakufanikiwa, mwaka 2015 alipumzika ili kuzunguka na baba kumtafutia kura

Habari zinazidi kupenyeza kuwa Mh.Happyness William ni mtoto wa kulelewa na Rais JPM, amesomeshwa na Rais na amekuwa akiishi na JPM kwa maisha yake mpaka alipopata kazi. Kifupi Mh.Happyness ni "mtoto" wa JPM na kwa sasa ni DC wa Kisarawe

Ama hakika huu ni msimu wa vijana...Vijana mjiibidishe ili muonekane na mpate Wilaya au Mkoa.
wacha uchochezi/wivu. sasa kama amelelewa na magufuli si ndio atakua kijana mzuri? jpm wananchi wana imani naye.
 
Mkuu shida ipo maana likija swala la kumwajibisha lazima afikirie mara mbili. Hawezi kumchukulia hatua kama atakazomchukulia mtu ambaye hawana uhusiano.
Waliozungumzia "conflict of interest" hawakuwa wajinga.
Hapa tunajadiliana na watu ambao hawana hata ABC ya uongozi. Ni watu waliojaa mahaba na mapenzi kwa chama. Ninyi hamna msaada kwa Taifa.

Watu wamebaki kwa kusema mbona utawala uliopita ulimweka fulani na fulani, wanachoshindwa kujua ni kuwa binadamu yeyote mwenye akili hatafuti kushindanishwa katika uovu. Halafu kuna hoja za kijinga kabisa kuwa mbona Ridhiwani alikuwa mbunge. Lakini Ridhiwani hakupewa ubunge na Baba yake bali alichaguliwa na wananchi. Huyo dada angekuwa amepata nafasi kwa kuchaguliwa na wananchi, kusingekuwa na hoja. Kama huyo binti angekuwa kwenye nafasi ya kitaalam kusingekuwa na shida. Lakini yeye amepewa nafasi ya kisiasa na mtu mwenye maslahi naye, ambaye kwa vyovyote vile au uteuzi wake, au mwenendo wake, au hatua dhidi yake au maumuzi yoyote dhidi yake, yanaweza kuathiriwa na mahusiano ya kifamilia.

Kama ni kweli haya yanayotamkwa, basi huyu atakuwa ndiye kiongozi wa kwanza Tanzania kumteua mwanafamilia kwenye nafasi ya kisiasa.
 
Usigeuze JF kuwa chungu cha majungu! Ongelea uwezo wake, sio uhusiano wake...ungejisikiaje kama ungekuwa wewe unaomba kazi sehemu afu unanyimwa simply because wewe una undugu na rais...tuletee CV na track record ya performance sio mijungu
Wanao hoji hapa ni watu wenye elimu zao na wana sifa kuliko hata hao unao wapigia vigeregere lkn bado wapo mitaani hawana ajira,unapo changia issue muhimu kama hii ushirikishe ubongo
 
Usigeuze JF kuwa chungu cha majungu! Ongelea uwezo wake, sio uhusiano wake...ungejisikiaje kama ungekuwa wewe unaomba kazi sehemu afu unanyimwa simply because wewe una undugu na rais...tuletee CV na track record ya performance sio mijungu
Umenena vyema mkuu.
 
Hivi wewe ikibahatika kumlea mtoto asiye Wako na kumsomesha akahitimu na kujaaliwa kupata kazi,ni dhambi kumpandisha cheo kama majukumu yake ya mwanzo aliyatekeleza pasipo shaka?
 
Dos Santos na Museveni wanajulikama kuwa ni watawala wa ki imla. US Attorney General wa John F. Kennedy alikuwa mdogo wake Robert F Kennedy. Alipoteuliwa hakuwa na uzoefu wala sifa za kuwa mwanasheria mkuu but he was very successful in fighting against organized crime. How do you explain that? Was JFK a dictator?
Unajua huyo Mwanasheria Mkuu wa Marekani anavyopatikana? Ukijua hutakuja kamwe na mfano huo.
 
mkuu Huyo Ndugu yake 1987 lazima atajisahau tu na kulewa madaraka tena amepewa wilaya isiyo na maendeleo ni wilaya ya wajuaji wengi atakumbana na changamoto kibao sie tupo tutaona juhudi zake.
Ili kuweza kufunika hayo, tutaongeza kasma ya Bajeti na misaada mingi itaelekezwa katika hiyo Wilaya na ukumbuke Naibu Waziri Tamisemi anatokea hapo utekelezaji utakuwa mzuri kabisa.
 
Hapa tunajadiliana na watu ambao hawana hata ABC ya uongozi. Ni watu waliojaa mahaba na mapenzi kwa chama. Ninyi hamna msaada kwa Taifa.

Watu wamebaki kwa kusema mbona utawala uliopita ulimweka fulani na fulani, wanachoshindwa kujua ni kuwa binadamu yeyote mwenye akili hatafuti kushindanishwa katika uovu. Halafu kuna hoja za kijinga kabisa kuwa mbona Ridhiwani alikuwa mbunge. Lakini Ridhiwani hakupewa ubunge na Baba yake bali alichaguliwa na wananchi. Huyo dada angekuwa amepata nafasi kwa kuchaguliwa na wananchi, kusingekuwa na hoja. Kama huyo binti angekuwa kwenye nafasi ya kitaalam kusingekuwa na shida. Lakini yeye amepewa nafasi ya kisiasa na mtu mwenye maslahi naye, ambaye kwa vyovyote vile au uteuzi wake, au mwenendo wake, au hatua dhidi yake au maumuzi yoyote dhidi yake, yanaweza kuathiriwa na mahusiano ya kifamilia.

Kama ni kweli haya yanayotamkwa, basi huyu atakuwa ndiye kiongozi wa kwanza Tanzania kumteua mwanafamilia kwenye nafasi ya kisiasa.
Ahsante kwa ufafanuzi wako. Mtoa mada hakufafanua kama hivi
 
Back
Top Bottom