Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya maneno yanachosha Sasa inabidi mtu mmoja akiwashe nchi nzima ilipuke tuheshimianeBado kuchomoa betri tu .
Wilaya yake kuanzia lini? Hiyo Berlin Conference ya Kumgawia Wilaya ilifanyika lini?
Siku atasema wampelekee wake zao itabidi wakubali sababu mwenye wilaya Yake kasemaMwenye wilaya yake kashasema tabu ipo wapi.
Gadafi pia alikuwa anasema hivyo.Ndoto za mc
Ndoto za. Mchana
Aliyetoa agizo Hilo Ni msomi kabisaaaaaTunaziishi nyakati
zimebaki hatua chache sana !Haya maneno yanachosha Sasa inabidi mtu mmoja akiwashe nchi nzima ilipuke tuheshimiane
Huyu atakuwa na akili za kipimo cha kijiko cha chai. Watu wa namna hii wanaokotwa wapi?Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga, Dk Halfan Haule ameagiza kung'olewa bendera zote za Chadema katika mitaa, vijiji na vitongoji vyote katika mji wa Sumbawanga mkoani Rukwa... Chanzo Mwananchi
Kama kweli ameyasema hayo,huo uliyosemwa Ni upuuzi na ushenzi mkubwa.Mwenye wiliya yake ndio nani, mbona madaraka yamewalevya sana.
Watu wa kusini na hasa huko sumbawanga ni WAJINGA na WACHAWIMkuu wa Wilaya ya Sumbawanga, Dk Halfan Haule ameagiza kung'olewa bendera zote za Chadema katika mitaa, vijiji na vitongoji vyote katika mji wa Sumbawanga mkoani Rukwa... Chanzo Mwananchi