Watu wa kanda hiyo wanajua tu Ushirikina na kuroga.Hakika inashangaza sana kuona Mkuu wa Wilaya ambaye ni mlinzi wa amani anaagiza kuondolewa bendera za Chadema ktk Wilaya anayoitawala. Najiuliza baadhi ya maswali
1 Je Chadema sio chama halali
2.Hakiruhusiwi kuwa na bendera
3.Sheria inasemaje juu ya bendera za vyama
4 Je wafuasi wa Chadema wakiamua nao kushusha bendera za CCM nini kitatokea
5 Serikali inasemaje juu ya tatizo hilo.
Nashauri kama Rais anasema Watanzania tusubaguane kwa Itikadi vipi huyo Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga?
Mahakama gani? Ile ya Afrika ya Haki za Watu na Binadamu?Kama katamka hayo na ushahidi upo mpelekeni mahakamani, ndio dawa ya wavunja sheria. Acheni kulalamika tu
Hivi hawa vipi? Lakini tatizo ni Chadema pia kulea huu ujinga. Atoe hizo bendera pamoja na ushahidi wa amri yake wampeleke mahakamani. Waache kulialia tu
Mheshimiwa D.C unaogopa hata bendera!
1.Hakika inashangaza sana kuona Mkuu wa Wilaya ambaye ni mlinzi wa amani anaagiza kuondolewa bendera za Chadema ktk Wilaya anayoitawala. Najiuliza baadhi ya maswali
1 Je Chadema sio chama halali
2.Hakiruhusiwi kuwa na bendera
3.Sheria inasemaje juu ya bendera za vyama
4 Je wafuasi wa Chadema wakiamua nao kushusha bendera za CCM nini kitatokea
5 Serikali inasemaje juu ya tatizo hilo.
Nashauri kama Rais anasema Watanzania tusubaguane kwa Itikadi vipi huyo Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga?
Watu wa kusini na hasa huko sumbawanga ni WAJINGA na WACHAWI
Ndio maana wana shida sana kila mahala ni vumbi vumbi na vibuyu.
Wataendelea kuburuzwa na CCM kizazi na kizazi.
Ukute wewe ndio umetoa hilo agizo !!Kama katamka hayo na ushahidi upo mpelekeni mahakamani, ndio dawa ya wavunja sheria. Acheni kulalamika tu
Tatizo la kujaza makada wakeleketwa wenye nafasi nyeti za utendaji wa umma.Mheshimiwa D.C unaogopa hata bendera!
kinachoniudhi ni huyo jamaa kujiita dr! dr anayefanya hayo katika nchi inayojinasibu kuwa taifa la mfumo wa vyama vingi kisiasa, utawala wa sheria na utawala bora! kuna mtu anaweza kusema kuwa huyu dici hajui? mbona hata chekechea anajua! au ile phd ya hesabu na kemia ya maganda ya korosho? tunao sampuli ya sycophantic dr. hafai haula. what a shame? kusoma pasipo kuelimika. very pathetic!Mheshimiwa D.C unaogopa hata bendera!
Ata wewe unayo haki ya kumpeleka mahakamani. Au Chukulia kua CHADEMA wamekataa kumpeleka mahakani na akang 'oa bendera..je amna taasisi nyingine ya kumshitaki ?Kama katamka hayo na ushahidi upo mpelekeni mahakamani, ndio dawa ya wavunja sheria. Acheni kulalamika tu
Ni wazi kama vyama vya upinzani vinataka kujitetea waangalie sana option ya mahakama hata kama huko pia kuna matatizo. Lazima watenge fungu kubwa la pesa na wajenge uwezo wao wa kuendesha kesi kwa level tofauti za mahakama. Kila mshezi anaeleta ushenzi apelekwe mahakamani. Cha pili wafikirie hata kama ni kuunga unga kama sheria inaruhusu waanzishe RADIO na TV kupeleka sera zao na masibu yao kwa wananchi. Na tatu kwa CDM baada ya kuwachanganya wapenzi wao walio nje ya chama ni wakati muafaka watu wajue tena CDM una simamia nini. Kabla ya 2015 tulijua, ikaingia balaa ya kubadili gea angani, sasa SLAA, LOWASA na SUMAYE waote wametoka simameni tujue ni nini mnasimamia na msilogwe tena kutafuta watalii wa kisiasa hata kama wanapendeza kiasi gani kwani kwa ndani hao ni CCM tu. Naamini somo la ujio wa Lowasa mtakua mmelifianyia kazi. Naamini hata kama Lowasa angeshinda mvutano ndani ya chama ungekua mkali na yeye ndiye angeendesha chama na sivinginevyo.Hivi hawa vipi? Lakini tatizo ni Chadema pia kulea huu ujinga. Atoe hizo bendera pamoja na ushahidi wa amri yake wampeleke mahakamani. Waache kulialia tu
Na haya yanayofanywa leo hayatofautiani na yaliyofanywa kwa Firauni/Pharao wa Mussa...Tunaziishi nyakati
Acha uchochezi hakuna kitu kama hicho Dk Haule anajitambua sana tafuteni njia nyingine ya kumchafua au kiki nyingine ,mbuzi nyie VYADOMOMkuu wa Wilaya ya Sumbawanga, Dk Halfan Haule ameagiza kung'olewa bendera zote za Chadema katika mitaa, vijiji na vitongoji vyote katika mji wa Sumbawanga mkoani Rukwa... Chanzo Mwananchi
Ni wapumbavu CHADEMA muda wa kulialia kama ushahidi wanao walianzie siyo kuleta ujinga wao humu,hakuna huruma za propagandaHivi hawa vipi? Lakini tatizo ni Chadema pia kulea huu ujinga. Atoe hizo bendera pamoja na ushahidi wa amri yake wampeleke mahakamani. Waache kulialia tu
Unao ushahidi juu ya hilo au unadandia treni kwa mbele tu?Hakika inashangaza sana kuona Mkuu wa Wilaya ambaye ni mlinzi wa amani anaagiza kuondolewa bendera za Chadema ktk Wilaya anayoitawala. Najiuliza baadhi ya maswali
1 Je Chadema sio chama halali
2.Hakiruhusiwi kuwa na bendera
3.Sheria inasemaje juu ya bendera za vyama
4 Je wafuasi wa Chadema wakiamua nao kushusha bendera za CCM nini kitatokea
5 Serikali inasemaje juu ya tatizo hilo.
Nashauri kama Rais anasema Watanzania tusubaguane kwa Itikadi vipi huyo Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga?
Wahusika labda watampeleka mkuuTumpeleke mahakamani!
Kama katamka hayo na ushahidi upo mpelekeni mahakamani, ndio dawa ya wavunja sheria. Acheni kulalamika tu