Mkuu wa Wilaya ya Bukoba apingana na wananchi wake, aunga mkono kumegwa kuunda mkoa wa Chato

Mkuu wa Wilaya; mwakilishi wa Rais anapingana na Wabunge; wawakilishi wa wananchi.
 
Mkoa mpya wa Simiyu umesimama imara kuliko hata Shinyanga kwa sasa.
 
Wengi tunagoma kuwa na mkoa kama huo - huwezi kumtoa mwananchi wa Kakonko pembezoni na kumrudisha pembezoni kupata huduma.

Iwapo haipo kisiasa basi Biharamuo kunatosha kuwa Mkoa
 
Ni gharama tupu
 
Hakuna jipya ni kuongeza gharama kwa wananchi
 
Sumu iliyoanzishwa na JPM kuitoa Chato Biharamulo bado inaendelea! SSH Anapaswa kuwa makini! Kuongeza mkoa wa CHATO ni kuwaongezea Watanzania gharama ambazo hazina sababu na zinaweza kuepukika.
Ghalama gani? Mshahara wa Mkuu wa Mkoa?

Kuna faida nyingi sna kuwasogezea wana nchi huduma za kiserikali. Kwanza ni kuwatoa kwenye ujinga. Maeneo mengi yaliyoko mbali na serikali wananchi wengi ni mbumbumbu kabisa. Yaani hawajua hata kama kuna serikali. Wala hajui dunia inaenda je.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…