Mkuu wa Wilaya ya Bukoba apingana na wananchi wake, aunga mkono kumegwa kuunda mkoa wa Chato

Hawapewi ushirikiano kwa sababu wanahujumu mkoa. Mtu kama huyu Mosses Machali amejaa chuki tupu kwa wahaya unategemea asimamie miradi ya maendeleo ya mkoa?
 
MADINI HAYAENDI KOKOTE LAZIMA YABAKI KAGERA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…