Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Nikki wa Pili aanza kutekeleza majukumu

Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Nikki wa Pili aanza kutekeleza majukumu

Countrywide

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2015
Posts
20,694
Reaction score
32,527
Katika kuendeleza slogan ya mama yetu mpendwa mama Samia ya kazi iendelee. Mkuu wa wilaya ya kisarawe Mh.Nikki wa Pili ameanza kazi kwa kishindo kikubwa.

Ametembelea miradi ya afya, ujezi, mazingira, maji na uwezeshaji wa vijana akiwa na siku moja tu kazini. Ni jambo kubwa sana
Hili ni Jambo la kuigwa, mkuu wa wilaya anapaswa kutembelea miradi na kutatua changamoto hapohapo.

Mama Samia kwenye uongozi tunaomba kuwe na vijana wengi kama hawa kwa kuwa wanaonyesha hali ya kufanya kazi kwa bidii kubwa sana. Pale ppanapotokea changamoto kwao wapate somo au namna bora ya kufanya kazi yao vizuri.

Mama Samia kwa pamoja tunakupenda sana Chapa kazi tupeleke nchi ya ahadi.

#kazi iendelee#

Nikki.jpg
 
Jokate wakati akihojiwa juzi kati hapa.

Alisema cheo cha uDC mara nyingi ni cheo cha kuongeza tu thamani ile mipango iliyopangwa na kupitishwa na serikali kuu kwa ajili ya utendaji.

Hivyo DC ni mtekelezaji tu wa maamuzi yaliyokwisha fanywa na wenye nchi.
 
Nikki kashaniomba vitabu vya uchumi kusoma najua ni msomi wa uchumi kwa maana ya kwamba anafuatilia mambo ya uchumi kuyasoma, regardless ya kasoma kozi gani.
Nikki ni msomaji msomaji tu kama alivyo Peter Msigwa.

Ni wazee wa Quotes. Sidhani kama wana eneo lolote la specialisation.

Nikki anaweza kuwa anahojiwa masuala ya Muziki yeye akaanza kutoa quotes za Mandela au Magufuli.
 
Back
Top Bottom