Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
As long as quotes ziko relevant, poa tu.Nikki ni msomaji msomaji tu kama alivyo Peter Msigwa.
Ni wazee wa Quotes. Sidhani kama wana eneo lolote la specialisation.
Nikki anaweza kuwa anahojiwa masuala ya Muziki yeye akaanza kutoa quotes za Mandela au Magufuli.