Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
- Thread starter
- #41
Kwa hiyo waandishi wasifanye kazi yao?Sio mbaya kufanya kazi kwenye media / kuuza sura ila mengi ya maendeleo huwa yanafanyika behind the scenes hakuna sababu ya Camera huenda kwenye ukaguzi watu wakaogopa Camera na kupewa majibu ya uoga, ila ndio hivyo politics zipo kila mahali siku hizi...