Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Nikki wa Pili aanza kutekeleza majukumu

Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Nikki wa Pili aanza kutekeleza majukumu

Jambo la kuigwa? How?
Yaan kufanya majukuu hako napo panahitaji debe?
Mwalimu akifundisha napo ni matangazo?
Punguza mbwembwe bwana mdogo
Jifunze kwa Rc Mtaka
Basi tukuige wewe
 
Eti hivi katika hizo picha umeweza kuuona mradi wowote zaidi ya sura ya DAS mrembo na DC wake?
Niki bana! Ushapata udc yanini kuendelea kujipigia debe zisizo na kichwa?kwahiyo ulipotembelea hiyo miradi ukatatua changamoto papo kwa papo au
 
Wewe unajua masaa 24 yote anafanya nini?
AMEKABIDHIWA OFISI NA NDANI YA MASAA 2 AMEANZA KUKAGUA MIRADI. HIZO NI KICK, ANGESUBIRI ASO,ME MAKABOIDHIANO AKUTANE NA WAKUU WAKE WA IDARAILI APATE ABC ZA WILAYA YAKE.
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Muacheni dogo apige kazi, hii sasa ni kumuwangia mchana kweupe. Lol...
IMG_20210624_070842.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo hatukatai kuwa yeye ni muimbaji lakini alikuwa anaimba Pumba. Mfano mzuri ni Prof Jay nyimbo zake hata akiteuliwa kuwa Waziri zinambeba.
 
Katika kuendeleza slogan ya mama yetu mpendwa mama Samia ya kazi iendelee. Mkuu wa wilaya ya kisarawe Mh.Nikki wa Pili ameanza kazi kwa kishindo kikubwa.

Ametembelea miradi ya afya, ujezi, mazingira, maji na uwezeshaji wa vijana akiwa na siku moja tu kazini. Ni jambo kubwa sana
Hili ni Jambo la kuigwa, mkuu wa wilaya anapaswa kutembelea miradi na kutatua changamoto hapohapo.

Mama Samia kwenye uongozi tunaomba kuwe na vijana wengi kama hawa kwa kuwa wanaonyesha hali ya kufanya kazi kwa bidii kubwa sana. Pale ppanapotokea changamoto kwao wapate somo au namna bora ya kufanya kazi yao vizuri.

Mama Samia kwa pamoja tunakupenda sana Chapa kazi tupeleke nchi ya ahadi.

#kazi iendelee#

View attachment 1827568
Mpende mumeo dada
 
Eti hivi katika hizo picha umeweza kuuona mradi wowote zaidi ya sura ya DAS mrembo na DC wake?
Hawa bado wanaishi kwa propaganda na kuwarubuni wananchi wajinga tu.
 
Nikki kashaniomba vitabu vya uchumi kusoma najua ni msomi wa uchumi kwa maana ya kwamba anafuatilia mambo ya uchumi kuyasoma, regardless ya kasoma kozi gani.
Anafatilia mambo ya uchumi au economics ni moja ya core course development studies?
 
Back
Top Bottom