Yule ni mwanamkeLakini Jokate kashine kwa mbinu hiyo hiyo.
Na pia alikua kivutio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule ni mwanamkeLakini Jokate kashine kwa mbinu hiyo hiyo.
Stupid uMjinga utakuwa wewe na Nikki MATAGA!
Vipi bado Chakubanga anawagawia buku 7 mkipeleka screenshot?
Basi tukuige weweJambo la kuigwa? How?
Yaan kufanya majukuu hako napo panahitaji debe?
Mwalimu akifundisha napo ni matangazo?
Punguza mbwembwe bwana mdogo
Jifunze kwa Rc Mtaka
Na wewe unataka kuwa kivutio?Yule ni mwanamke
Na pia alikua kivutio
Uchumi wa nn?Nategemea Nikki atuongeze Kisarawe kutumia usomi wake wa uchumi.
One.
Wa mastafeli.Uchumi wa nn?
Hivi kwenye hizo picha umeuona mradi wowote ambao umetembelewa na DC?Huyo unayemueleza ni kilaza wa mwisho kabisa, hakuna lolote analojua
Niki bana! Ushapata udc yanini kuendelea kujipigia debe zisizo na kichwa?kwahiyo ulipotembelea hiyo miradi ukatatua changamoto papo kwa papo au
AMEKABIDHIWA OFISI NA NDANI YA MASAA 2 AMEANZA KUKAGUA MIRADI. HIZO NI KICK, ANGESUBIRI ASO,ME MAKABOIDHIANO AKUTANE NA WAKUU WAKE WA IDARAILI APATE ABC ZA WILAYA YAKE.Wewe unajua masaa 24 yote anafanya nini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwahiyo vipi kwenye kuimba atapumzika au? Tutamiss "hapo kati itanogea kati"
Tatizo hatukatai kuwa yeye ni muimbaji lakini alikuwa anaimba Pumba. Mfano mzuri ni Prof Jay nyimbo zake hata akiteuliwa kuwa Waziri zinambeba.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mpende mumeo dadaKatika kuendeleza slogan ya mama yetu mpendwa mama Samia ya kazi iendelee. Mkuu wa wilaya ya kisarawe Mh.Nikki wa Pili ameanza kazi kwa kishindo kikubwa.
Ametembelea miradi ya afya, ujezi, mazingira, maji na uwezeshaji wa vijana akiwa na siku moja tu kazini. Ni jambo kubwa sana
Hili ni Jambo la kuigwa, mkuu wa wilaya anapaswa kutembelea miradi na kutatua changamoto hapohapo.
Mama Samia kwenye uongozi tunaomba kuwe na vijana wengi kama hawa kwa kuwa wanaonyesha hali ya kufanya kazi kwa bidii kubwa sana. Pale ppanapotokea changamoto kwao wapate somo au namna bora ya kufanya kazi yao vizuri.
Mama Samia kwa pamoja tunakupenda sana Chapa kazi tupeleke nchi ya ahadi.
#kazi iendelee#
View attachment 1827568
nami naomba link ya hivyo vitabu mkuu kama utojaliVitabu mbona hata hapa unaomba tu mkuu.
Kuna uzi wa vitabu mzuri tu alianzisha Paula.
Hawa bado wanaishi kwa propaganda na kuwarubuni wananchi wajinga tu.Eti hivi katika hizo picha umeweza kuuona mradi wowote zaidi ya sura ya DAS mrembo na DC wake?
Wanatia aibu Sana, wanaishi kisanii sanii , wanaishi propagandaHawa bado wanaishi kwa propaganda na kuwarubuni wananchi wajinga tu.
Uwe unasikiliza Wimbo wote Mkuu...hicho ni kikorombwenzo tu..michiriziiii...Utamu wake mapaja michiriziiiiii.
Ila mchizi anaimbaga pumbaaa, bora apumzikie huko kwenye siasa.
Anafatilia mambo ya uchumi au economics ni moja ya core course development studies?Nikki kashaniomba vitabu vya uchumi kusoma najua ni msomi wa uchumi kwa maana ya kwamba anafuatilia mambo ya uchumi kuyasoma, regardless ya kasoma kozi gani.
Soma hapa Why Study Development Studies?Anafatilia mambo ya uchumi au economics ni moja ya core course development studies?