Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Wana dharau saa hao jamaa wacha waipate chai kwanza😉Au anakuona na IST yako anakuletea umpishe njia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wana dharau saa hao jamaa wacha waipate chai kwanza😉Au anakuona na IST yako anakuletea umpishe njia.
Namuonea huruma mh DC tu. Ushawahi kuona Toyota FJ Cruiser moja ina private plate BASILA? Ndio mashine ya huyu DCWana dharau saa hao jamaa wacha waipate chai kwanza😉
Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Basila Mwanukuzi amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tanga, Bombo baada ya kupata ajali ya gari katika Barabara ya Tanga- Segera eneo la Hale Wilayani Korogwe.
Kaimu RPC wa Tanga, David Mwasimbo amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo "Ajali imetokea usiku wa kuamkia leo, Mkuu wa Wilaya anaendelea vizuri isipokuwa Dereva wake hali si nzuri, chanzo cha ajali hiyo ni mwendokasi, Dereva alikuwa anajaribu kuyapita magari mengine na ndipo ajali ikatokea"
Kwa upande wake Mganga Mkuu wa Hospitali ya Rufaa ya Bombo, Dk Jonathan Gudemo amekiri kuwapokea majeruhi watatu wa ajali hiyo akiwemo DC Mwanukuzi "Majeruhi wawili hali zao zinaendelea kuimarika akiwemo DC na bado wapo chini ya uangalizi wa matabibu na majeruhi mmoja tumempatia rufaa ya kwenda Muhimbili kwa ajili ya matibabu zaidi"
Millard Ayo
Kuwa na huruma...unataka former miss Tz Basila adedi?
Hale pamenyooka sana, mara nyingi gari za viongozi wa serikali hazina speed limit wala hazifuati sheria za barabarani hence kuwasababishia wengine ajali.Pole sana kwake, hapo Segera kuna kona mbaya
Mzee ile Vw yetu ukiendesha speed 20,30 sawa kweli teh tehHujui mwendo wa hizi gari.
Teh teh private plateNamuonea huruma mh DC tu. Ushawahi kuona Toyota FJ Cruiser moja ina private plate BASILA? Ndio mashine ya huyu DC
Mzee wa road trip upoAu anakuona na IST yako anakuletea umpishe njia.
Weka ushahidiMara nyingi ni mabosi hua wanawaamrisha madereva watembee. Unakuta ameshachelewa sasa anamwambia dereva kanyaga saa mbili nna kikao ofisin.
Mara nyingi ni mabosi hua wanawaamrisha madereva watembee. Unakuta ameshachelewa sasa anamwambia dereva kanyaga saa mbili nna kikao ofisin.