Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tusiamini sana hizi mamboWashaanza kutaka kutoana kafara.
Ha ha ha speed killsMzee ile Vw yetu ukiendesha speed 20,30 sawa kweli teh teh
Ova
Kna wakati alikuwa Ana push hammerNamuonea huruma mh DC tu. Ushawahi kuona Toyota FJ Cruiser moja ina private plate BASILA? Ndio mashine ya huyu DC
Wawekee gavana sasa. Wanatuumizia na kuuwa warembo wetu!Zile overtake za kukata semi tatu wakati anaiona ingine inakuja usoni mwake😅😅😅
Tangu lini kifaru kikawa na mwendo! Gas guzzler tuKna wakati alikuwa Ana push hammer
Hivi hammer hainaga mwendo ehh
Ova
sijawahi iona kwani ndio hio walikuwa wana push?Namuonea huruma mh DC tu. Ushawahi kuona Toyota FJ Cruiser moja ina private plate BASILA? Ndio mashine ya huyu DC
No, hio yake binafsi.sijawahi iona kwani ndio hio walikuwa wana push?
Basi yuko njema aiseeNo, hio yake binafsi.
gari za wakubwaa huwa zinaendeshwa mwendo wa 80 - 140 km/hr, anyway get well soon
[emoji23][emoji23][emoji23] aisee hii ilitokea nikiwa na Brooh tunatoka Dom kuja Dar, tupo ndani ya IST jamaa alileta gari ili tumpishe na kawasha taa kabisa,Au anakuona na IST yako anakuletea umpishe njia.
Hivi huwa wanakumbiaga Nini?au hawataki kutekwa?Uzuri msafara wa ma RC/DC/Rais/Mawaziri etc Sheria za barabarani hua haziwahusu.
Kama ni Chadema wapelekwe mbinguni wakale Raha huko.Kama ni ccm watolewe na drip za maji na dawa tuwazike
Unawajua hao walamba asali vizuri? Hawashindwi kitu.Tusiamini sana hizi mambo