Mkuu wa Wilaya ya Mafia: Watoto 15 wamelawitiwa na Ustadhi wa Madrasa Kisiwani Mafia

Mkuu wa Wilaya ya Mafia: Watoto 15 wamelawitiwa na Ustadhi wa Madrasa Kisiwani Mafia

Sasa kama dini iliyoeenea sana ni ile ya madrasa unadhani kuna maadili na hofu gani kule? Dini yao imeshindwa kuzuia uovu mioyoni mwao wanafanya uovu bila hata mswalie mtume, hawana dhamiri ya kuwashitaki kuogopa dhambi kwa hofu ya kumkosea Mungu. Allah wanamtaja lakini hawana hofu naye uovu umewajaa wanahitaji ukombozi wazaliwe upya huko mafia kunako na hiyo dini kwa wingi

Kinachosababisha hayo ni kukosa Elimu na umasikini
Serikali ijenge chuo cha VETA na shule za Sekondari huko angalau vijana wengi wafike kidato cha nne na kuhudhuria mafunzo ya VETA. Miaka michache tu ijayo yote hayo yataisha. Ujinga na umasikini ni kitu kibaya sana!
Mtu masikini na mjinga ni vigumu sana kuwa na msimamo wa dini yeyote!
Umewahi kusikia Kilimanjaro wakiwa na ugomvi wa dini au kuchukia albino nk ni kwa kuwa wame elimika.
 
Haya Mafia ujirani wenu na Kiembembuzi unawachafua
 
Huwa nasema kuwa mashoga wote ni dini moja watu hawaelewi
 

Mafia nimekutana na changamoto ya Ulawiti na Ubakaji. Katika wilaya zote ambazo nimehudumu sijawahi kukutana na changamoto kubwa ya Ulawiti na Ubakaji kama ambavyo ipo Mafia.

Mwalimu mwingine wa Madrasa amelawiti watoto kama sita hivi.

Hapa tu kuna mwalimu wa madrasa amelawiti watoto 15, bora nieleze hapa wazazi mkiwa mnasikia, watoto wa kiume ni wengi kuliko watoto wa kike.

Mkuu wa wilaya ya Mafia Aziza Mangosongo ameyasema haya kwenye mkutano na wananchi wakati wa ziara ya viongozi wa UWT mkoa wa Pwani.
Aisee
 
Back
Top Bottom