Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 15,335
- 29,114
Rejea niliyemhoji.Wakifanya kwa watoto wao ndiyo inakubalika? Jaribu kujenga hoja nzuri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rejea niliyemhoji.Wakifanya kwa watoto wao ndiyo inakubalika? Jaribu kujenga hoja nzuri.
Nime quote kimakosa. Hata mimi ndiye nilitaka kumhoji kwani ameonyesha kama wakifanya kwa watoto wao ni jambo linalokubalika.Rejea niliyemhoji.
Naomba kwa heshima na taadhima FaizaFoxy na mwenzake THE BIG SHOW watoe neno kuhusu huu ushaitwani.View attachment 3006679
Inasikitisha kwa kweli kwa kiongozi wa dini kufanya uchafu huu.
Anakula faidaInasikitisha.
Kwanini hawa watu wanafanya hivo Kwa watoto wa wenzao na sio Kwa watoto wao.
Serikali wachukulie hatua kali
Nilijua tu.Itakua sina akili mkuu.
Ndio hivyo mkuu😊Nilijua tu.
Sasa kama dini iliyoeenea sana ni ile ya madrasa unadhani kuna maadili na hofu gani kule? Dini yao imeshindwa kuzuia uovu mioyoni mwao wanafanya uovu bila hata mswalie mtume, hawana dhamiri ya kuwashitaki kuogopa dhambi kwa hofu ya kumkosea Mungu. Allah wanamtaja lakini hawana hofu naye uovu umewajaa wanahitaji ukombozi wazaliwe upya huko mafia kunako na hiyo dini kwa wingi
Huwa wanaanza kulawitiwa wao afu wanawalawiti watoto wao na ndugu wa karibu....Inasikitisha.
Kwanini hawa watu wanafanya hivo Kwa watoto wa wenzao na sio Kwa watoto wao.
Serikali wachukulie hatua kali
Hao wenye dini wanaokataza kula Nguruwe, mbona hata nchongo wa pesa huwa hawatoi?Tukiwaambia kitimoto inaongeza uwezo wa kufikiri na kudadavua mambo mnatupiga vita
Poitia uzi vizuri, usidandie treni kwa mbele.Naomba kwa heshima na taadhima FaizaFoxy na mwenzake THE BIG SHOW watoe neno kuhusu huu ushaitwani.
taInasikitisha sana mkuu, hawa ni viumbe wa ajabu sana. Kwenye huu uzi wanaingia mitini. Wanaona ni mara mia wasile kitimoto, ila watindue ndogo za watoto wa watu
Kwa Tanga,Arusha , Dar na Dodoma ... ni gomora nyengine?Kwa michezo hiyo Mafia ni Zanzibar nyingine!
Acha uswahili. Nimekuita uje utoe maoni. Mambo ya kudandia treni yanaingiaje kwenye huu uzi! Kama huna cha kuchangia, sema.Poitia uzi vizuri, usidandie treni kwa mbele.
Aisee
Mafia nimekutana na changamoto ya Ulawiti na Ubakaji. Katika wilaya zote ambazo nimehudumu sijawahi kukutana na changamoto kubwa ya Ulawiti na Ubakaji kama ambavyo ipo Mafia.
Mwalimu mwingine wa Madrasa amelawiti watoto kama sita hivi.
Hapa tu kuna mwalimu wa madrasa amelawiti watoto 15, bora nieleze hapa wazazi mkiwa mnasikia, watoto wa kiume ni wengi kuliko watoto wa kike.
Mkuu wa wilaya ya Mafia Aziza Mangosongo ameyasema haya kwenye mkutano na wananchi wakati wa ziara ya viongozi wa UWT mkoa wa Pwani.