Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata wanaokulipa wanakudharau sana.Team Lissu wanalijua hilo?
Hata wanaokulipa wanakudharau sana.
Huyo SAGAI nahisi alisharogwa uchizi akiwa tayari ni chizi..kwani wewe humuoni alivyo tu.Pole sana! Wasiliana na SAGAI GALGANO akupeleke kwa mtaalamu wake, huu uteuzi unakuhusu.
Fafanua...
Cancer hatari sanaPole kwa wanafamilia. Aliugua saratani ya ziwa na alkua anaendelea vyema baada ya kukatwa titi. Mungu amlaze mahala pema peponi. Alikuwa mpambanaji Tena mwenye nidhamu
Msimamiaji wa kura za wizi.R.I.P Ester![]()
Duh!! Pretty sad..H
Huyu mama kaumwa muda mrefu alikua anapambana na kansa apumzike kwa amani
Mnamshukuru mama kwa lipi?Tunamshukuru mama.
Tunashukuru tu kwa yote mabaya na mazuri. Heri, baraka na majanga au nasema tofauti wajameni.Mnamshukuru mama kwa lipi?
Akila uteuzi atalia machoziLucas Mwashambwa hii fursa nayo ikikupita ndo basi tena.
Kwani mengine mnamshukuru kwa lipi? Kwa sababu kila kinachotekelezwa ni fedha zetu kupitia kodi,misaada na mikopo ambayo sisi wananchi ndiyo tunaolipa kupitia kodi zetu ndiyo bajeti upangwa kulipa madeni kila mwaka.Mnamshukuru mama kwa lipi?
Yaani hata mimi nimekuwa chawa? Chawa ni mdudu mbaya sana anayependa kuishi kwenye uchafu! Ukiona kuna chawa maana yake hapo kuna uchafu! Mimi na uchafu tofauti kabisa!Kwani mengine mnamshukuru kwa lipi? Kwa sababu kila kinachotekelezwa ni fedha zetu kupitia kodi,misaada na mikopo ambayo sisi wananchi ndiyo tunaolipa kupitia kodi zetu ndiyo bajeti upangwa kulipa madeni kila mwaka.
Sasa nyie chawa wake mnamshukuru kwa lipi?
Mimi nimekuelewa!!! 🙏amefia madarakani..
Una roho ya kishetani.Sijui kwanini siku hizi siumii akifa mtu wa serikalini