Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukoo wenu wote hakuna mwajiriwa wa Serikali hata Mwalimu wa S/msingi?Sijui kwanini siku hizi siumii akifa mtu wa serikalini
List ya Amatus liyumba!Mzee wa gari jekundu!Nitamkumbuka sana.. mwaka 2000 nikiwa kijana mdogo nilikuwa nikiwapeleka wadogo zangu shule asbh pale JUE JUNIOR ACADEMY iliyokuwa inamilikiwa na huyu mama mwendazake. Esther alikuwa mchapakazi sana. Ni miongoni mwa wajasiriamali wa mwanzo kwenye hizi biashara za english medium school. Kimsingi kabla hata ya ukuu wa wilaya alishashika pesa ndefu. Doa pekee nalokumbuka ni jina lake kutokea kwenye list ya Amatus Liyumba.
HE has been.... Ngoja tukuelewe hivyo hivyo tuEster Alexander Mahawe is a Tanzanian politician and a member of the CCM political party . She was elected as a Member of Parliament for the Special Women's Seats for the years 2015–2020.
He has been appointed as the head of Kigoma District starting in 2021. In an appointment made in early 2023 by Samia Suluhu Hassan, President of the United Republic of Tanzania, he has been transferred to Mbozi District in Songwe Region.
english>bongo lalaHE has been.... Ngoja tukuelewe hivyo hivyo tu
Kafariki na cancerUbonge unapendeza na kuheshimika sana machoni mwa wadau, lakini umebeba maradhi mengi kuliko vimbaumbau.
Ripoti kamili ikitoka lazima itazungukia kwenye sukari na moyo, haivuki hapo.
Pole sana kwa wafiwa, kaondoka bado kijana mbichi R. I. P.
Kafariki na cancer
🥵😭😭🙏Kafariki na cancer
Jina ckumbuki, nadhani ni (a.k.a) aliyemuinhizia kijana chupa.Yule mbunge wa babati mjini atakuwa amefurahi sana.... maana mpinzani wake ndo kaenda hivyoooi... hiv anaitwa nani vileee
Ester anatoka Mbulu sio babatiYule mbunge wa babati mjini atakuwa amefurahi sana.... maana mpinzani wake ndo kaenda hivyoooi... hiv anaitwa nani vileee
Pauline GekulJina ckumbuki, nadhani ni (a.k.a) aliyemuinhizia kijana chupa.
Saratani ni zimwi....yani unakatwa nyonyo na bado haikuachi itakupa matumaini miaka 5 mwisho...Pole kwa wanafamilia. Aliugua saratani ya ziwa na alkua anaendelea vyema baada ya kukatwa titi. Mungu amlaze mahala pema peponi. Alikuwa mpambanaji Tena mwenye nidhamu