TANZIA Mkuu wa Wilaya ya Mbozi Mkoani Songwe, Esther Mahawe afariki Dunia

TANZIA Mkuu wa Wilaya ya Mbozi Mkoani Songwe, Esther Mahawe afariki Dunia

RIP, Pumzika kwa amani Esther.
 
Nitamkumbuka sana.. mwaka 2000 nikiwa kijana mdogo nilikuwa nikiwapeleka wadogo zangu shule asbh pale JUE JUNIOR ACADEMY iliyokuwa inamilikiwa na huyu mama mwendazake. Esther alikuwa mchapakazi sana. Ni miongoni mwa wajasiriamali wa mwanzo kwenye hizi biashara za english medium school. Kimsingi kabla hata ya ukuu wa wilaya alishashika pesa ndefu. Doa pekee nalokumbuka ni jina lake kutokea kwenye list ya Amatus Liyumba.
 
Nitamkumbuka sana.. mwaka 2000 nikiwa kijana mdogo nilikuwa nikiwapeleka wadogo zangu shule asbh pale JUE JUNIOR ACADEMY iliyokuwa inamilikiwa na huyu mama mwendazake. Esther alikuwa mchapakazi sana. Ni miongoni mwa wajasiriamali wa mwanzo kwenye hizi biashara za english medium school. Kimsingi kabla hata ya ukuu wa wilaya alishashika pesa ndefu. Doa pekee nalokumbuka ni jina lake kutokea kwenye list ya Amatus Liyumba.
List ya Amatus liyumba!Mzee wa gari jekundu!
 
  • Mshangao
Reactions: Ame
Ester Alexander Mahawe is a Tanzanian politician and a member of the CCM political party . She was elected as a Member of Parliament for the Special Women's Seats for the years 2015–2020.

He has been appointed as the head of Kigoma District starting in 2021. In an appointment made in early 2023 by Samia Suluhu Hassan, President of the United Republic of Tanzania, he has been transferred to Mbozi District in Songwe Region.
HE has been.... Ngoja tukuelewe hivyo hivyo tu
 
Wanasiasa wote waliowahi kuongoza na waliopo madarakani wote wana njia zao za siri zilizowafanya wapate madaraka hayo. Hata ESTHER nae alikuwa nayo yake. all in all ahsante kwa utumishi wako uliotukuka ktk kulitumikia taifa hili,umeacha alama ambayo kamwe haitafutika. pole kwa familia,hasa watoto,mume,ndugu,jamaa,marafiki, wilaya yake ya kiutawala,wilaya yake ya nyumbani,mkoa,kanda na taifa kwa ujumla. hakika umeacha pengo na pengo lako halitazibika milele. RIP mama.
 

Attachments

  • IMG-20250120-WA0054.jpg
    IMG-20250120-WA0054.jpg
    289.1 KB · Views: 3
  • IMG-20250120-WA0055.jpg
    IMG-20250120-WA0055.jpg
    298.8 KB · Views: 3
Pole kwa wanafamilia. Aliugua saratani ya ziwa na alkua anaendelea vyema baada ya kukatwa titi. Mungu amlaze mahala pema peponi. Alikuwa mpambanaji Tena mwenye nidhamu
Saratani ni zimwi....yani unakatwa nyonyo na bado haikuachi itakupa matumaini miaka 5 mwisho...
 
Back
Top Bottom