mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Giggy yuko hapo kwenye wengine.
Albert ni binadamu kama wewe na ni mwanaume kama wengine
Tofauti ni kwamba yeye anakutana na kina Giggy wakati wewe unakutana na kita Sikuzani
Alishatubu na kuacha na Familia yake ikamsamehe..... usitoneshe vidonda vya watu