Giggy yuko hapo kwenye wengine.
Hawa wezi wa kura wakifa ni jambo la kheri sana.
Kabisa mkuu, hata gaidi likifia gerezani ni jambo jema pia
Tutajie nchi zenye misafara midogo ili tuige huko mkuu...Madude ya millioni 100!yanabomolewa namna hii,tatizo nchi hii misafara ni mikubwa inatumia pesa nyingi,
Yaani viongozi wanatumia pesa nyingi kwenye misafara kuliko msaada na huduma wanazotoa huko wanapoenda
Alikuwa na giggy money nini?MKUU wa wilaya ya Morogoro, Albert Msando amepata ajali maeneo ya Dakawa mkoani Morogoro baada ya gari aliyokuwa amepanda kugongana uso kwa uso na gari jingine dogo.
Ajali hiyo imetokea wakati mkuu huyo wa Wilaya akiwa kwenye msafala wa ziara ya waziri Mkuu uliokuwa unatoka Dakawa kuelekea Morogoro mjini leo Jumamosi, Agosti 14, 2021.
Mkuu wa wilaya pamoja na dereva wake wote wamelazwa katika hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro.
View attachment 1892168
View attachment 1892169
Mama Dulvan mbona unamuwekea uzio sana mheshimiwa DC ,unaukubali sana uchapakazi wake? Au Kuna lingine ambalo atulijui [emoji120]Wanaudhi hawa watu sana ila Mungu amnusuru kaka Mbowe
India mkuuTutajie nchi zenye misafara midogo ili tuige huko mkuu...
Babu zinapata ajali ndege itakuwa gari? Hata iwe ya mjamaica... ajali ni ajali mura!!!... ila gari za mjapan "makaratasi" kishenzi.
Mama Dulvan mbona unamuwekea uzio sana mheshimiwa DC ,unaukubali sana uchapakazi wake? Au Kuna lingine ambalo atulijui [emoji120]
Inasemekana huyu mwamba ndo anaengineer kesi ya sabaya
Ujifunze ku relax tu ,watz wengi si unatujua hamnazoSijamuwekea uzio Chief Sam
Ila watu wamekua wepesi mno kuhukumu wengine kwa makosa ambayo wanayafanya sana tuu ila gizani
Albert ni binadamu kama wewe na ni mwanaume kama wengine
Tofauti ni kwamba yeye anakutana na kina Giggy wakati wewe unakutana na kita Sikuzani
Alishatubu na kuacha na Familia yake ikamsamehe..... usitoneshe vidonda vya watu
Wana maujinga sana, Mwamba mtu poa hanaga noma, ila hawa chawa wake wanatia kinyaaWanaudhi hawa watu sana ila Mungu amnusuru kaka Mbowe
Hahahaha..!Daaah ilibaki kidogo tu nilipuke kwa shangwe.Anyway kesho nayo ni siku