Psychologically wewe ulietaja neno stress kwenye haya mazungumzo ndio Una stress. Kwanza bi mdada hata hujui niko nchi gani unasema asubuhi. See where the problem lies?! Au Jf iko Dar pekee na Tandahimba?....
Afe tuAcha stress asubuhi asubuhi wewe. Unachofurahia haswa ni Alberto kupata ajali au ni chuki ya kwamba Alberto ni mwana CCM?
Na umuombe Mungu wako akuondolee moyo wa chuki kwa usiyoyajua na ujifunze kutenganisha siasa na utu wa mtu
Afe tu
Sasa kama umeshindwa ku relate ulichoongea na hiyo point yangu ya Dar na Tandahimba....na umeshindwa pia ku relate hilo la Dar na Tandahimba ......utaendelea kula buku 7 hapo Lumumba mpk Yesu arudi.Hahahaaaa kuwa nchi gani inahusiana nini na huu mjadala?
Na kuwa Dar au Tandahimba inahusikaje hapa[emoji849][emoji849]
Kwanza huna hoja kabisaaaa kwendraaaaaaa mshamba tuu wewe
Sasa kama umeshindwa ku relate ulichoongea na hiyo point yangu ya Dar na Tandahimba....na umeshindwa pia ku relate hilo la Dar na Tandahimba ......utaendelea kula buku 7 hapo Lumumba mpk Yesu arud...
Hakuna Cha kwenda mbali, Msando Ni katili Kama Mwendazake, ilifaa afelie kwa mbaliMkuu umeenda mbali sana
Kufa tena
sijasema hivyo Mimi lkn. Wewe wasema [emoji144]Pole sana wewe unayedhani kuishi nje ya Tanzania ndio kuyapatia. Yaani dah, hadi huruma
We Kama Mimi, Mungu atatenda tuDaaah ilibaki kidogo tu nilipuke kwa shangwe.Anyway kesho nayo ni siku
Likifa CCM lolote huwa naagiza kitimotoHajafa, nenda Kamuue
Umezipata na umechangia neno๐๐๐๐Sina habari na hawa watu
Hawa hawana huruma kabisa maana watoto wanasomea chini ya miti bila kuwahurumia.Madude ya millioni 100! Yanabomolewa namna hii, tatizo nchi hii misafara ni mikubwa inatumia pesa nyingi.
Yaani viongozi wanatumia pesa nyingi kwenye misafara kuliko msaada na huduma wanazotoa huko wanapoenda
ila siyo Kama ya huyo jamaa wa profile kifo Cha aibu anazungushwa kwenye jua Hadi kakauka Kama kambareNo matter,hata wewe utakufa Tena kifo kibaya Sana kuwaliko unaowatamania wafe,
Shubamiti!!!
Ila mama D tuambiane ukweli, Msando sio baba D kwel!!??Wewe unatetea unachokijua?
Haya, endelea kuhumu wenzio kwa chuki zako
Bado hoja ya msingi iko palepale ni kwa nini hii misafara ni mikubwa sana na wanaendesha kwa kasi sana?? Ndiyo matumizi ya ongezeko la miamala???Itakua gari lake lilitumika na ugeni, hapa tatizo/kesi lipo kwa OCD na RPC kwa uongozaji mbaya wa msafara au Taasisi iliyomuazima gari DC dereva aliyepewa majukumu hana weledi wa kazi za msafara. Kama Mkuu huyo wa Taasisi pia aliombwa aruhusu gari aendeshe dereva mwenye uzoefu akagoma imekula kwake.
Kwa kifupi hapo kuna mtu atasimama kazi