TANZIA Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Wakili Avod Mmanda afariki Dunia. Atazikwa Mtwara na Serikali na wahudhuriaji wasiozidi 10

Hili dude halina muamana, halikawii kumrukia magu, endeleeni kumtukana mamba!!
 
R.I.P mate wangu..
 
Habari za hivi karibuni zinasema kua Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Wakili Evod Mmanda hatunae tena duniani
 

Attachments

  • IMG-20200427-WA0010.jpg
    75.5 KB · Views: 1
Pole kwa familia yake na ndugu zake.
RIP Advocate Mmanda.
Cause of death please and how many people will participate during a burial ceremony?
 
Kuna mchafuzi zaidi ya yule anayepiga risasi viongozi wa wananchi, wakikusanyika kumuombea wanatawanywa kwa risas na tear gas, wakikusanyika kujitolea damu kwa wagonjwa wengine ili kumuenzi wanakamatwa na damu kumwagwa. Zaidi hakuna uchunguzi unafanyika, wanaishia kumnyang'anya ubunge kwa hila.
Mungu anawaonyesheni kwa ishara mbalimbali mnajifanya ninyi ni mashabiki vipofu na msioambilika.
Subirini ile kubwa kuliko, imeshafika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…