Hili dude halina muamana, halikawii kumrukia magu, endeleeni kumtukana mamba!!Kichwa chako kimeoza kama cha TL aliyehadaiwa kuichafua nchi yake kimataifa kwa maslahi ya Wakoloni ili tu ionekane Serikali ya awamu ya 5 haiheshimu haki za Binadamu wakati aliko hakuna mtu anyeweza kuitukana nchi yake kimataifa.
Umekera saaana na umeudhi sana na uloyojiombea soon utayapata. Mungu hadhihakiwi
Take easy bro......sio vita hiiHivi MaCCM yanakufaga..!.
MACCM kanyageni kwa adabu Ardhi ya Allah.
R.I.P mate wangu..View attachment 1431852
Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Advocate Evord Herman Mmanda, afariki Dunia alfajiri ya leo.
Aliwahi kulazwa Muhimbili miezi 4 iliyopita kwa presha akaruhusiwa.
Mauti imemkuta akiwa kalazwa Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Mtwara Ligula, akisumbuliwa na maradhi ya Moyo.
View attachment 1431934
Mmanda aliteuliwa kuwa mkuu wa Wilaya ya Mtwara na rais Magufuli 19 Dec 2016 akichukua nafasi ya Dkt. Khatib M Kazungu ambaye alihamishiwa Wizara ya Fedha.
Wakili Msomi Mmanda aliyekua pia mjumbe wa Bunge la Katiba. Katika Bunge hilo, aliteuliwa na MWENYEKITI wa Muda wa vikao vya Bunge Maalumu la Katiba, Pandu Ameir Kificho, kama mmoja ya wajumbe 20 Watakaomshauri ili kuboresha utendaji.
2015 alitangaza nia ya kugombea Ubunge jimbo la Rombo kupitia CCM.
Stay tuned...
Sio salama.sana Sasa hivi kwenda hospital tutajitibu na miziziSasa hivi unaenda Hospitali na ugonjwa wako wa kawaida unaenda kulizoa gonjwa la Corona bin virus
Bado chanzo cha kifo chake hakijawekwa wazi
Pole kwa familia yake na ndugu zake.View attachment 1431852
Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Advocate Evord Herman Mmanda, afariki Dunia alfajiri ya leo.
Aliwahi kulazwa Muhimbili miezi 4 iliyopita kwa presha akaruhusiwa.
Mauti imemkuta akiwa kalazwa Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Mtwara Ligula, akisumbuliwa na maradhi ya Moyo.
View attachment 1431934
Mmanda aliteuliwa kuwa mkuu wa Wilaya ya Mtwara na rais Magufuli 19 Dec 2016 akichukua nafasi ya Dkt. Khatib M Kazungu ambaye alihamishiwa Wizara ya Fedha.
Wakili Msomi Mmanda aliyekua pia mjumbe wa Bunge la Katiba. Katika Bunge hilo, aliteuliwa na MWENYEKITI wa Muda wa vikao vya Bunge Maalumu la Katiba, Pandu Ameir Kificho, kama mmoja ya wajumbe 20 Watakaomshauri ili kuboresha utendaji.
2015 alitangaza nia ya kugombea Ubunge jimbo la Rombo kupitia CCM.
Stay tuned...
Àu Chloroquine tu
Kuna mchafuzi zaidi ya yule anayepiga risasi viongozi wa wananchi, wakikusanyika kumuombea wanatawanywa kwa risas na tear gas, wakikusanyika kujitolea damu kwa wagonjwa wengine ili kumuenzi wanakamatwa na damu kumwagwa. Zaidi hakuna uchunguzi unafanyika, wanaishia kumnyang'anya ubunge kwa hila.Kichwa chako kimeoza kama cha TL aliyehadaiwa kuichafua nchi yake kimataifa kwa maslahi ya Wakoloni ili tu ionekane Serikali ya awamu ya 5 haiheshimu haki za Binadamu wakati aliko hakuna mtu anyeweza kuitukana nchi yake kimataifa.
Umekera saaana na umeudhi sana na uloyojiombea soon utayapata. Mungu hadhihakiwi
Alikuwa anaendesha kipindi cha ijue sheria pale ITV, ila sidhani kama alikuwa mfanyakazi wa ITV, nadhani alikuwa anaalikwa tu kufanya kipindiHivi huyu bwana alishawahi kufanya kazi ITV au nimefananisha mkuu
Ndiye huyo alikuwa akiendesha kipindi cha sheriaHivi huyu bwana alishawahi kufanya kazi ITV au nimefananisha mkuu