Nangu Nyau
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 5,015
- 14,139
Huu ni utoto kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh!...Siasa za Tanzania.
DC wa Muheza, Bi Zainab akiwa amempigia magoti waziri wa maji Jumaa Aweso kuomba maji wilayani Muheza.
Accountability imefikia hukuView attachment 3156991
Nchi hii bana. Usanii usanii umekuwa mwingiiii ndio maana tunapiga mark time kwenye mambo ya msingiSiasa za Tanzania.
DC wa Muheza, Bi Zainab akiwa amempigia magoti waziri wa maji Jumaa Aweso kuomba maji wilayani Muheza.
Accountability imefikia hukuView attachment 3156991
Maigizo tuDC wa Muheza Zainab Abdallah akimpigia magoti Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Awesu ambaye ni mume wake awaletee maji Muheza
View attachment 3157069
Ama walikoseana huko kitandani ndo kaja kuomba radhi hadharani?? Mbona sielewiiiiSiasa za Tanzania.
DC wa Muheza, Bi Zainab akiwa amempigia magoti waziri wa maji Jumaa Aweso kuomba maji wilayani Muheza.
Accountability imefikia hukuView attachment 3156991
Wanawake mna heshima sana, mumeo huwa unampigia magoti mara ngapi kwa siku?Hakuna ubaya maana naona alikuwa anampigia magoti Mume wake kama Sehemu ya kumpa heshima mumewe.
Hapana. Aliupata ukuu wa wilaya akiwa mke wa mume mwengine yule alikuwaga AzamLazima apige goti.maana aliupata ukuu wa wilaya sababu ni mke wa aweso.
Washindwe kumalizana huko 6*6 wanaleta drama. Ningekuwa president wa hii nchi hawa leo wangerudi nyumbani wakachezeane vizuri.Waziri ni mume
Mkuu wa Wilaya ni Mke
Michezo hii
Kuna wakati siasa inaweza kukufanya uwe ndondochaSiasa za Tanzania.
DC wa Muheza, Bi Zainab akiwa amempigia magoti waziri wa maji Jumaa Aweso kuomba maji wilayani Muheza.
Accountability imefikia hukuView attachment 3156991
Huko ni kujidunisha ni majukumu tena ya msingi kwa sirikali kuhahikisha huduma za msingi zpina mfikia kila mtu bila kuombwa wala kubembelezwa.Imeshindwa japo watoe sababu kwanini na je bado wanafaa kuaminiwa au kazi imewashinda.Siasa za Tanzania.
DC wa Muheza, Bi Zainab akiwa amempigia magoti waziri wa maji Jumaa Aweso kuomba maji wilayani Muheza.
Accountability imefikia hukuView attachment 3156991