raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Kuna mwanaharakati kule twitter alilipokea kama lilivyo bila kujua inaweza kuwa ni uzushiWala sioni kosa la simalenga kumpiga yule binti acha apigwe tu hana adabu nawajuwa watoto wa kule
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mwanaharakati kule twitter alilipokea kama lilivyo bila kujua inaweza kuwa ni uzushiWala sioni kosa la simalenga kumpiga yule binti acha apigwe tu hana adabu nawajuwa watoto wa kule
Nakubaliana na wew kuwa ni wivu na kuna watu wamejipanga ili asitokee tena kweny udcHii ni kampeni chafu tuu kutaka kumchafua DC wetu, Simon Simalenga ni mtu muadilifu sana!, itakuwa kuna upigaji anadhibii hapo Songwe, sasa wanamtafutia sababu kwa kumtungia story ya uongo!. Huyu binti sijui analipwa kiasi gani kutunga uongo huu!. Usikute hata hiyo bandeji kuubwa jichoni ni amefungiwa tuu nyumbani, usikute hajaripoti polisi, hana PF3, na bandeji ikitolewa hana jeraha lolote!.
DC Simon Simalenga, wewe endelea kupiga kazi na kazi iendelee, huku kutengenezewa movie kama ile ya Gwajima ni vitu vya kawaida sana!. Kwenye mabadiliko ya ma DC na Ma RC yanayofuata, huyu awe RC!.
P
Atatandikwa vzr tu atapiga akili zimkae sawaHata kama amemtukana hana uhalali wa kumpiga
Waziri amepoteza muda wake na fedh za bure kweny maswla ya uzamdiki wivu ,husda uchadema mwimgj dc hajampiga mjinga yuleWaziri wa Afya na ustawi wa Jamii, Dr. Doroth Gwajima, ameisha tuma kikosi kazi chake cha uchunguzi kufuatilia hili jambo
P
Kosa la jinai kwa nani? Na we usiwe mjinga kama mhasibu fulani.Duh.........!
Hata kutishia kujeruhi ni kosa la jinai
Kwani hilo ni suala la kuwaita Polisi au lilikuwa jambo la kuwaambia tu waondoke.Kwamba Mkuu wa Wilaya asinge agiza Polisi wafanye hiyo kazi?
Hili nalo limepita kimya kimya...hii nchi wanyonge wataendelea kuisoma nambaMkuu wa Wilaya ya Songwe, Simon Simalenga amempiga na kumuumiza jicho mwanafunzi wa kike.
View attachment 2437142
Merry ChristmasHili nalo limepita kimya kimya...hii nchi wanyonge wataendelea kuisoma namba
This event could be one of the hoaxes of the century!Mkuu wa Wilaya ya Songwe, Simon Simalenga amempiga na kumuumiza jicho mwanafunzi wa kike.
View attachment 2437142
Kwa kiswahili tafadhaliThis event could be one of the hoaxes of the century!
Linaweza kuwa ni tukio feki, la kutengeneza. Kuna dalili zinaonyesha hivyoKwa kiswahili tafadhali
Kuhamishwa ndio adhabu yenyewe!Jamaa hajachuliwa hatua stahiki hadi Leo kama Yule mwalimu wa kyerwa.
Ndio ujue serikalini Kuna double standard.
Na zaidi kahamishiwa wilaya nyingine.
Inasikitisha sana
Ule Uzi wako unaishi lini au ni ISIDINGO au DAYS OF OUR LIVES.This event could be one of the hoaxes of the century!
Kauchungulie tena!Ule Uzi wako unaishi lini au ni ISIDINGO au DAYS OF OUR LIVES.
Kwa hiyo kidoti naye kutolewa temeke kupelekwa tanga kumbe ni adhabu!!Kuhamishwa ndio adhabu yenyewe!
Ameshindwa kutokomeza ZiroKwa hiyo kidoti naye kutolewa temeke kupelekwa tanga kumbe ni adhabu!!