Mkuu wa Wilaya ya Songwe ampiga na kumjeruhi mwanafunzi wa kike

Mkuu wa Wilaya ya Songwe ampiga na kumjeruhi mwanafunzi wa kike

Mahaba yapi. Mkuu. Ile libandeji umeliona. Mengine not guilty until proven . Tuwaachie polisi. Wewe nataka unambie bandeji umeiona
Nimesikia Kauli ya waziri aliyesema aliunda tume kutoka ustawi wa jamii ambayo ilienda kuchunguza na kugundua ni tukio la kweli.

Sasa unataka kusema na waziri nae anashiriki kumfitini DC?
 
😂😂😂😂😂😂 hahah huyo mtoto ni mchongo by 100%
Sisi wengine mtu kwa kumtazama tu tunajua anasema ukweli au ni Majaliwa.

Licha ya uongo pia kwa kuongea kwake huyo binti inaonyesha hana tabia njema.

Mkuu wa Wilaya, labda awe kichaa hawezi kumpiga mtu tena ni binti hadi akafungwe dude lote hilo usoni, hata Sabaya na ujinga wake wote sijui kama aliwahi mkumchapa binti ngumi za jicho.

Mara nyingi Wakuu wa wilaya au mikoa huwa wanapishana sana na Wabunge wa maeneo yao, hii inatokana na Wabunge kuhisi wakuu hao wanazitaka nafasi zao.


 
TUHUMA ZA KUBUMBA KAMA ZA MAJALIWA.

MAMA WA MTOTO KASEMA ALIMKUTA MWANAE KAVIMBA MASHAVU, HAYA SAWA KAVIMBA MASHAVU, JE NA HILO BANDEJI KWENYE JICHO LA NINI WAKATI HAKUPIGWA KWENYE MACHO NA ALIPIGWA KWENYE MASHAVU??

HAYA HATA TUKISEMA ALIPIGWA KWENYE HILO JICHO NA LIKAVUJA DAMU AU PAKAWA NA MCHUBUKO, HIVI KWELI ANGEWEZA KUVUMILIA KULALA BILA KWENDA HOSPITAL KWA KISINGIZIO ET WAZAZI WAKE HAWAKUWEPO NYUMBANI? NA HIYO DAMU SI INGEVUJA SANA NA INGEISHA?

ET MAMA NAYE ANAHOJI MASWALI YA KIUWAKILI HUKU AKIONEKANA KABISA NI MTU WA KIJIJI KABISA ILA KAFUNDISHWA ASEME NINI!!

ET WAZIRI HARAKA KAKIMBILIA KUISEMA TUKIO NI LA KWELI!!! ET KWA MARA YA KWANZA TAARIFA INAENDA KURUSHWA HEWANI NA TBC BADALA YA ITV KAMA ILIVYOZOELEKA 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
TBC TANGU LINI WAMEANZA HAYA MAMBO YA KUJILIPUA???
 
CCM wanawapiga Watanzania kwa kila namna. Kwa kutumia ngumi, kwa tozo, kwa risasi, kwa virungu, kwa viboko, yaani kila kitu twende. Yaani kama wakoloni weusi.
 
Kama hadi sasa haijatolewa taarifa rasmi juu ya tuhuma za DC Simon Simalenga basi yawezekana zilikuwa ni siasa chafu tu

Kama hivyo ndivyo basi siasa zetu zimefika pabaya

Nakumbuka mbunge George Mwenesongole gari yake iliharibiwa na maradhi zake wa kisiasa huko huko mkoani Songwe
Hapo upinzani hawahusiki,
Jiulize tangu LINI TBC WAMEANZA KUJILIPUA Kwa taarifa kama hiyo? Taarifa kama hiyo tulitegemea tuipate clouds au ITV na siyo TBC!!! Mwananchi shituka😂😂😂😂😂😂

Halafu kabinti kamefungwa bandeji usoni🤣🤣🤣Hapo hapo mama mtu anasema alimkuta kavimba mashavu😂😂😂😂 Sasa kuvimba mashavu na huo MBANDEJI uliofungwa kisanii Kwenye jicho wapi na wapi???

Halafu et Binti kapasuliwa jicho au kaumizwa jicho halafu anaongea mkavu huku akionekanika Hana hisia ya maumivu yoyote inawezekana uumizwe jichoni halafu upate nguvu za kuongea namba hiyo bila kugugumia Kwa maumivu😂😂😂😂😂

Et waliitwa na DC Wenzake wakaogopa yeye akajifanya Majaliwa akaenda Kwahiyo anataka kujifananisha kama Majaliwa WA kike !!!

Halafu et baada ya kupigwa akaenda nyumbani wazazi hakuwakuta Siku hiyo akaamua kulala HADI Kesho yake wazazi walipokuja wakampeleka Hospital🤣🤣Hivi maumivu ya jicho ANGEWEZA kulala kweli? Hivi Hana ndugu WENGINE hadi asubulie wazazi wake? Hata Majirani? Na hapo nyumbani ALIKUWA amebaki na nani ambaye alishindwa kwenda kuomba msaada Kwa Majirani??

Na kama anavyotaka kutuaminisha kuwa kapasuliwa jicho aliwezaje kurudi kutokea eneo la tukio hadi nyumbani bila hata kuulizwa na watu umefanyaje na kumpa msaada WA kwenda hospitali?

Halafu tuwe wazi ,TBC TANGU LINI WAMEANZA kutangaza taarifa kama hizi ? Taarifa kama hii ilishazoeleka huwa zinatokea Kwenye ITV na Clouds Sasa Kwa mara ya kwanza et TBC wanatangaza!!!!!!!! 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Ogopa sana vikao vya wapika majungu na wakaanga sumu wakikukalia kikao😀😀😀

Taarifa za KUBUMBA hizi, Nitakuwa mtu WA mwisho kuziamini!!!

Et mama kamkuta mwanaye kavimba mashavu!! Sasa na huo MBANDEJI KWENYE jicho umefuata nini badala ya kuweka Kwenye mashavu anakodai ALIPIGWA?
 
Hatuwezi kuwa tunavumilia watu na viongozi kuchafua chama cha mapinduzi...TIsS wapo wapi kutoa taarifa
TISS siku hizi naona hawampi Dr. Taarifa kabisa labda za ndani ya Chama tuu.

Kuna maujinga Mengi sana Huko kwenye Mahalmashauri lakini hakuna hatua zinazochukuliwa. Hii nchi imerudi nyuma sana kwenye mambo ya Hovyo .
TISS wapo wanasubiri kulinda Chama Cha mapinduzi na genge lake liendelee kukaa madarakani huku nchi ikiwa Haina dira . Wao hawajali watu mil 60 miaka 20 ijayo watoto na wajukuu zao wataishije kwenye nchi hii ambayo wakati huo rasilimali zote zitakua zinamilikiwa na watu wa familia za watu wasiozidi kumi na SHERIA mbovu itakayowafanya wawe wanafanya wanavyotaka na biashara wanazoona zinawaoa faida kubwa kama madawa mikataba feki na miradi mikubwa mikubwa. IPTL imerudi lakini wapinzani Bado wanasubiri Royol family iwasaidie kupata Kibali Cha mikutano na maandamano.
 
Kuna wakati inabidi watu wawe wanalipwa visasi.

Kisasi ni takwa la kiMungu.
Mtu yoyote akitenda jambo baya stahiki yake ni kisasi kiwe Cha kulogwa,kusomewa Dua za kulaani kama albadiri na Zaburi zenye kutoa malipizo Toka Kwa Mungu , kutoa matambiko ya kulaani kizazi na kizazi Cha mtenda mabaya , kushitaki Mahakamani na hukumu haki kutolewa , kupigwa hata na gaidi lakini kisasi ni muhimu kulipwa kwa watenda maovu.

Ugaidi ni zao la kukosekana Kwa kisasi .
Kisasi Kwa nchi zilizostarabika kimewekwa mikononi mwa Serikali kisheria.
Hakuna mkuu wa Wilaya anayeruhusiwa kumpiga au hata kumsukuma mwananchi zaidi ya kutoa amri awekwe ndani . Hapo mkuu wa Wilaya anakua amelipa kisasi chake kisheria .

Sasa DC anapokosea ni lazima pia SHERIA isimame kulipa kisasi Kwa ajili ya aliyekosewa bila kujali cheo chake.

Mimi nasema Mkubwa akinikosea adabu Kwa makusudi na akanijeruhi nitatoa Taarifa Kwa mamlaka za kulipia kisasi kisheria. Zisipofanya hivyo nitachukua Sheria mkononi Kwa namna yoyote Ile hata Kwa kujitoa mhanga mbele ya umati wa watu nitajilipua na kummaliza kabisa. Kisasi ni Takwa la kiAsili.
Hata mtoto mdogo asiyejua jema na baya hua anafurahi anapoona kisasi kinalipwa Kwa mtu aliyemkosea.

Waafrika turudi kwenye jadi zetu hizi SHERIA za Wakoloni zinatudhalilisha sana . Zinatugawanya Kwa Makundi ya watu wa Daraja la juu na la chini .

Malipo ni hapa hapa Duniani . Hawa watu ni waovu sana hawamwogopi Mungu Wala mtu yeyote wamejawa na kiburi . Dawa yao ni kulipiza visasi kwao Moja Kwa Moja . Wajute na familia zao kama wanavyowapa watu wengine mateso.
 
Kwamba Mkuu wa Wilaya asinge agiza Polisi wafanye hiyo kazi?
Kuna watu walitabiri kwamba mtaanza kuteteana na kweli hata siku haijapita mmeshajitokeza. Hii nchi mmeshaifanya Mali yenu yaani!!
 
Waziri ndie anacheza huo mchezo ama?
Halafu anajitokeza mburula mmoja anasema DC ana polisi hawezi kupiga Mtu. Tunaye DC hapa anatembea na mke wa Askari polisi mchana SAA 9 kama mkewe halafu unatwambia hatuwajui MaDC? ASANTE kwa taarifa hii mkuu acha waaojifanya mawakili wa ujinga waendelee.
 
Kwahiyo na waziri Gwajima muongo pamoja na tume yake aliyounda kutoka ustawi wa jamii? Acheni mahaba ya kijinga vijana
Hiyo tume imeshaleta majibu au na ww unakurupuka tu??
 
Halafu anajitokeza mburula mmoja anasema DC ana polisi hawezi kupiga Mtu. Tunaye DC hapa anatembea na mke wa Askari polisi mchana SAA 9 kama mkewe halafu unatwambia hatuwajui MaDC? ASANTE kwa taarifa hii mkuu acha waaojifanya mawakili wa ujinga waendelee.
Aisee 🤔
 
Ila hii nchi ni kichwa cha mwendawazimu yan ofisi ya mkuu wa mkoa inasema uchunguz unaendelea watu watulie,waziri anaehusika katuma team yake ikaja na majibu ikisema ni kweli uyo DC kafanya uo uharifu na huku yeye mwnyw uyo DC anakataa kufanya icho kitendo
 
Back
Top Bottom