johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Simalenga alikuwa anaitwa Metu[emoji1787] Kwani Hadi Umtaje Muhogo Mchungu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simalenga alikuwa anaitwa Metu[emoji1787] Kwani Hadi Umtaje Muhogo Mchungu?
HATa mama WA Binti naye ni WA michongo kamezeshwa maneno😂😂😂😂😂😂 hahah huyo mtoto ni mchongo by 100%
Kasome taarifa ya Waziri wa Jinsia, Wazee na Watoto, Mh Dr Doroth Gwajima.Kama hadi sasa haijatolewa taarifa rasmi juu ya tuhuma za DC Simon Simalenga basi yawezekana zilikuwa ni siasa chafu tu
Kama hivyo ndivyo basi siasa zetu zimefika pabaya
Nakumbuka mbunge George Mwenesongole gari yake iliharibiwa na maradhi zake wa kisiasa huko huko mkoani Songwe
Yani hajielewi vibaya mno, binti hana confidence kabisaHATa mama WA Binti naye ni WA michongo kamezeshwa maneno
Sababu alizotaja binti ni kukaa kwenye jukwaa ambalo halikuandaliwa kwa ajili yao.Mtu hawezi kukupiga tu bila sababu
Kwamba Mkuu wa Wilaya asinge agiza Polisi wafanye hiyo kazi?Sababu alizotaja binti ni kukaa kwenye jukwaa ambalo halikuandaliwa kwa ajili yao.
Kwahiyo na waziri Gwajima muongo pamoja na tume yake aliyounda kutoka ustawi wa jamii? Acheni mahaba ya kijinga vijanaIle bandeji ina walakini
BASI ATAKUWA ANACHEZEWA NA WAZIRI GWAJIMA AMEPELEKA TUME IMEMPA MAJIBU ACHA KUTETEA UHUNIKama hadi sasa haijatolewa taarifa rasmi juu ya tuhuma za DC Simon Simalenga basi yawezekana zilikuwa ni siasa chafu tu
Kama hivyo ndivyo basi siasa zetu zimefika pabaya
Nakumbuka mbunge George Mwenesongole gari yake iliharibiwa na maradhi zake wa kisiasa huko huko mkoani Songwe