Mkuu wa Wilaya ya Songwe ampiga na kumjeruhi mwanafunzi wa kike

Nakubaliana na wew kuwa ni wivu na kuna watu wamejipanga ili asitokee tena kweny udc

Yule katot ni malaya tu hakn mwanafunzi pale
 
Sema hii hata kama kampiga ila kuna namna DC wanamfanyia yamuangukie zaidi
 
Jamaa hajachuliwa hatua stahiki hadi Leo kama Yule mwalimu wa kyerwa.

Ndio ujue serikalini Kuna double standard.

Na zaidi kahamishiwa wilaya nyingine.

Inasikitisha sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…