johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Jamaa gani?Kuwa muigizaji ni kipaji chake, huyo ni mtumishi wa umma, presidential appointee..
Naona jamaa wanataka kumchafulia CV yake
Hawa Watoto wa maDC wastaafu huwa ni watata sana kama alivyokuwa Ole Sabaya