johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Labda ni tamthiliya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio faida ya kuteuwa Viongozi wasio maadili na kulipana fadhilaa na watu wasiokomaaa kiakiliii .enzi za BENJAMIN MKAPA WENYE KUPEWA NAFASI NI WATU WALIOKAA UTUMISHI WA UMMA WENYE UZOEFU WA MDA MREFUMkuu wa Wilaya ya Songwe, Simon Simalenga amempiga na kumuumiza jicho mwanafunzi wa kike.
View attachment 2437142
Mama wa Binti anasema alimkuta mwanae kavimba shavu!!! Sasa hiyo bandaji yote hapo usoni ni uvimbe tu!? Ha ha haaaMkuu wa Wilaya ya Songwe, Simon Simalenga amempiga na kumuumiza jicho mwanafunzi wa kike.
View attachment 2437142
Ashindwe kumchomoa mkata umeme aje amchomoe huyo!!??Kwisha habari yake. Yaani hapo hakuna namna DC atachomoka.
Duuh..Mkuu wa Wilaya ya Songwe, Simon Simalenga amempiga na kumuumiza jicho mwanafunzi wa kike.
View attachment 2437142
Matokeo ya kupeana vyeo kwa hisani ya kufutana machozi.Mkuu wa Wilaya ya Songwe, Simon Simalenga amempiga na kumuumiza jicho mwanafunzi wa kike.
View attachment 2437142
Kisa?Mkuu wa Wilaya ya Songwe, Simon Simalenga amempiga na kumuumiza jicho mwanafunzi wa kike.
View attachment 2437142
Rais mwenyewe anawafanya nini wanawake wenzie, kuwanyima maji, umeme na wengine kwenda kuwafurusha kutoka makazi yao kisa kuwapa eneo waarabu?Habari ikimfikia mama, mkuu wa wilaya anakuwa mtanzania mwenzetu
Yani anampiga mtoto, tena mtoto wa kike kwenye utawala wa Rais mwenye jinsia ya kike....???
Si mpaka!Kesho mapema asubuhi utamsikia Dr Dorothy Gwajima
Hakuna lolote!Kwisha habari yake. Yaani hapo hakuna namna DC atachomoka.
Una ushahidi?Haya mambo ni rahisi tu kabla Waliomweka hapo hawajamfukuza kazi Binti anatakiwa kumfungulia kesi ya Jinai akamatwe ahojiwe....Hii ni Jinai.
Yaani leoSi mpaka!
U RC tu? Kwa nini asiwe katibu kiongozi wa rais ili amshikishe adabu? Maana akili kama zako zinazidi kushika kasi kwenye hii jamii, nafikiri akimshikisha adabu rais, labda ndio utazinduka kuwa ni kosa analofanya!Mitoto haina adabu, litakuwa lilikuwa na kosa la kinidham likamjibu kunya dc ndo akalishikisha adabu.
Huyo dc apandishwe cheo na kuwa rc
Mkuu wa Wilaya ya Songwe, Simon Simalenga amempiga na kumuumiza jicho mwanafunzi wa kike.
View attachment 2437142
Napendekeza Samia naye ampige DC huyo teke la mgongoni yaishe.Habari ikimfikia mama, mkuu wa wilaya anakuwa mtanzania mwenzetu
Yani anampiga mtoto, tena mtoto wa kike kwenye utawala wa Rais mwenye jinsia ya kike?