Shujaa Nduna
JF-Expert Member
- Sep 8, 2022
- 599
- 487
Nini sababu ya kumpiga?Mana video kwanguhaijafunguka.Mkuu wa Wilaya ya Songwe, Simon Simalenga amempiga na kumuumiza jicho mwanafunzi wa kike.
View attachment 2437142
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nini sababu ya kumpiga?Mana video kwanguhaijafunguka.Mkuu wa Wilaya ya Songwe, Simon Simalenga amempiga na kumuumiza jicho mwanafunzi wa kike.
View attachment 2437142
Nimesikiliza clip but maelezo Yana kigugumizi kingi... nafikiri Actor Simaleng kakutana na aspiring actress...ila Director hana uzoefu ... otherwise movie ingekuwa nzuri. Nampa 2 mark out of 10 kwa ile Bandage na Karatasi ya script.Wewe unaamini tukio ni la kweli Kabisa kama lilivyosimuliwa?
Hata kama amemtukana hana uhalali wa kumpigaKuna vitot vimelelewa vibaya labda amemtukana mkuu wetu wa wilaya
Labda ana churaLabda alimtongoza bint akachomoa
Vp huyo binti Ana mshepu au
Ova
Napendekeza Samia naye ampige DC huyo teke la mgongoni yaishe.
Sikiliza clip wewe, acha kuuliza vijiswali uchwara.Duh!...DC alikutana wapi na mwanafunzi mpaka ampige ?
Weka habari kamiliMkuu wa Wilaya ya Songwe, Simon Simalenga amempiga na kumuumiza jicho mwanafunzi wa kike.
View attachment 2437142
Sina mb...Sikiliza clip wewe, acha kuuliza vijiswali uchwara.
Mkuu, huyu Simalenga ndio yule alikuwa Bongo Movie kipindi fulani au nimechanganya madesa?Mama Samia, muondoe huyo Simalenga, ame prove failure
Hapo sawa. Clip inasema, mkuu wa wilaya aliwakuta wanafunzi wamekaa katika jukwaa fulani hivi. Nadhani kulikuwa na event ya michezo. Sasa yeye hakufurahishwa na kitendo hicho. Sasa alipowaita wanafunzi, wengi waliogopa ila huyo muhanga ndiye aliyejitolea kwenda kutoa maelezo, ndipo akapokea kichapo hicho.Sina mb...
Mtoto wa kike hapigwi ngumiMkuu wa Wilaya ya Songwe, Simon Simalenga amempiga na kumuumiza jicho mwanafunzi wa kike.
View attachment 2437142
Na hii kampeni ya siku 16 dhidi ya ukatili... Sijui!?Habari ikimfikia mama, mkuu wa wilaya anakuwa mtanzania mwenzetu
Yani anampiga mtoto, tena mtoto wa kike kwenye utawala wa Rais mwenye jinsia ya kike?
Vp alimtaka nini [emoji1]Mtoto wa kike hapigwi ngumi
Na utu uzima wako unaona mtiririko wa matukio upo sahihi kabisa..?Hapo sawa. Clip inasema, mkuu wa wilaya aliwakuta wanafunzi wamekaa katika jukwaa fulani hivi. Nadhani kulikuwa na event ya michezo. Sasa yeye hakufurahishwa na kitendo hicho. Sasa alipowaita wanafunzi, wengi waliogopa ila huyo muhanga ndiye aliyejitolea kwenda kutoa maelezo, ndipo akapokea kichapo hicho.
Kipigo cha visasi mostlyVp alimtaka nini [emoji1]
Mtoto kachomoa,
Ova