Mkuu wa Wilaya ya Songwe ampiga na kumjeruhi mwanafunzi wa kike

Mkuu wa Wilaya ya Songwe ampiga na kumjeruhi mwanafunzi wa kike

ME unasemaje? Hoja yako ni ipi hapo?
Kwa nini kwenye michezo specifically boxing kwa nini wanawake hawapigani na wanaume? Au hujui kuwa kimaumbile wanawake ni weaker kuliko wanaume? Hivi mkeo akikukosea unampiga ngumi kama unavyopigana na mwanaume mwenzako?
 
Rais ana teuwa wahuni kuwa viongozi.
Juyu Dc alipo fika Songwe kuna muwekezaji alijenga bar yake nzuri sana. Huyu Dc akawa anakwemda kwenye jiyo bar na kuchukua wahudumu kabla ya masaa ya kazi, mwenye bar alipo ona tabia ina endelea, akawakataza wafanyakazi wake kutoka kabla ya muda wa kazi.
Kilicho fuata, Dc alimtumia Ocd kuwakata watu kila wakiingia pale bar.
Mwisho bar ilifungiwa. Kitendo hicho kiliwaudhi wananchi hasa madiwani.
Wakapiga kelele hoteli ikafunguliwa.
Leo ndio huyo huyo ana piga watu.
Mamlaka ya uteuzi wapo tuu wana endekeza huu upuuzi.
 
Hii ni kampeni chafu tuu kutaka kumchafua DC wetu, Simon Simalenga ni mtu muadilifu sana!, itakuwa kuna upigaji anadhibii hapo Songwe, sasa wanamtafutia sababu kwa kumtungia story ya uongo!. Huyu binti sijui analipwa kiasi gani kutunga uongo huu!. Usikute hata hiyo bandeji kuubwa jichoni ni amefungiwa tuu nyumbani, usikute hajaripoti polisi, hana PF3, na bandeji ikitolewa hana jeraha lolote!.
DC Simon Simalenga, wewe endelea kupiga kazi na kazi iendelee, huku kutengenezewa movie kama ile ya Gwajima ni vitu vya kawaida sana!. Kwenye mabadiliko ya ma DC na Ma RC yanayofuata, huyu awe RC!.
P
Nitaelewa tu andiko hili hadi pale utakpokuwa umetumia tamathali za semi (sarcasm)

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Hii ni kampeni chafu tuu kutaka kumchafua DC wetu, Simon Simalenga ni mtu muadilifu sana!, itakuwa kuna upigaji anadhibii hapo Songwe, sasa wanamtafutia sababu kwa kumtungia story ya uongo!. Huyu binti sijui analipwa kiasi gani kutunga uongo huu!. Usikute hata hiyo bandeji kuubwa jichoni ni amefungiwa tuu nyumbani, usikute hajaripoti polisi, hana PF3, na bandeji ikitolewa hana jeraha lolote!.
DC Simon Simalenga, wewe endelea kupiga kazi na kazi iendelee, huku kutengenezewa movie kama ile ya Gwajima ni vitu vya kawaida sana!. Kwenye mabadiliko ya ma DC na Ma RC yanayofuata, huyu awe RC!.
P
Huo ndo ukweli. Hakuna aliye juu ya sheria. Iweje mtu ajeruhiwe halafu tunakimbilia jukwaani kupiga kelele kana kwamba ndipo kunakopatikana Haki?
 
Unaripoti kupigwa, mradi kupigwa tu?. Unatakiwa useme mtoto ameumia kiasi gani?
 
Habari ikimfikia mama, mkuu wa wilaya anakuwa mtanzania mwenzetu

Yani anampiga mtoto, tena mtoto wa kike kwenye utawala wa Rais mwenye jinsia ya kike?
Na atumbuliwe kweri kweri !! Inaonyesha alikuwa amekataliwa !! Mwambieni akampasue jicho mtoto wake kama ana watoto !!
 
Yaani hamnazo kweli ! Ukampige mtoto wa watu tena wa kike mpaka umpasue!! Akili unazo kweli !! Hivi hizi vetting huwa zinafanywa kweli ?? Duh ! Inasikitisha sana!!
Jamaa linajifanyaga very serious, intelligent kumbe kichwani hamna kitu..
 
Back
Top Bottom