Mkuu wa Wilaya ya Songwe ampiga na kumjeruhi mwanafunzi wa kike

Mkuu wa Wilaya ya Songwe ampiga na kumjeruhi mwanafunzi wa kike

Mkuu wa Wilaya ya Songwe, Simon Simalenga amempiga na kumuumiza jicho mwanafunzi wa kike.

View attachment 2437142
Mmmhh, yaani akaenda kulala badala ya kwenda hospitali au kuomba msaada wa dawa za maumivu? Na hili bandage alifungwa kwa ajili gani? Alivuja damu? Mbona haoneshi kuvimba! Sitetei ukatili wa aina yoyote ile ila...Something is wrong somewhere!
 
A7C2D6BB-BB87-4EDE-8232-E99BE2391164.jpeg
 
Aiseee kama ni kweli inabidi huyo simalenga arudishwe kaole akaigize maana hata clouds hatakiwi kurudi.
 
Mmmhh, yaani akaenda kulala badala ya kwenda hospitali au kuomba msaada wa dawa za maumivu? Na hili bandage alifungwa kwa ajili gani? Alivuja damu? Mbona haoneshi kuvimba! Sitetei ukatili wa aina yoyote ile ila...Something is wrong somewhere!
Yaah! There is something fishy behind this cooked stuff.

Hilo bandage kubwa lkn mwenyewe anaongea uso mkavu na haoneshi kuugulia maumivu.
 
Kama unasikiaga majungu na fitina basi ndio hizo anazo tengenezewa DC.

nawachukia sana watu wenye tabia ya kuwafitini wenzao kwa mambo ya kijinga kama haya!!

Ukitazama tu hiyo picha ya huyo binti, hiyo bendeji/pamba aliyo bandikwa jjchoni ni geresha! yaani inaonekana wazi kabisa imebandikwa kwa nia ya kukuza jambo, ili kuhadaa umma na mamlaka waamini kuwa DC katenda jambo baya sana!!

hata kama mnataka kumfukuzisha mtu kazi basi sio kwa style hii!!

Binaadamu acheni majungu na fitina, sasa huyo DC akifukuzwa kazi kwa mambo ya kizushi kama mnayo yafanya mtanufaika na nn haswa!!

nashauri mamlaka haswa viongozi wetu wasiwe wanapelekeshwa na majungu na kufanya maamuzi.
majungu na fitina vipuuzwe. wapuuzi kabisa hawa!!
 
Yaah! There is something fishy behind this cooked stuff.

Hilo bandage kubwa lkn mwenyewe anaongea uso mkavu na haoneshi kuugulia maumivu.
Hamna kitu hapo!

Huyo binti kama kuna neno la kweli amesema basi ni kuhusu kuonana na mkuu wa wilaya, mengine yote kutokana na vile anavyoongea na lugha yake ya mwili inaonesha anadanganya na yupo kwenye kazi maalumu.
 
Hamna kitu hapo!

Huyo binti kama kuna neno la kweli amesema basi ni kuhusu kuonana na mkuu wa wilaya, mengine yote kutokana na vile anavyoongea na lugha yake ya mwili inaonesha anadanganya na yupo kwenye kazi maalumu.
Walionana ili iwe nini?
 
Back
Top Bottom