Mkuu wa Wilaya ya Songwe ampiga na kumjeruhi mwanafunzi wa kike

Mkuu wa Wilaya ya Songwe ampiga na kumjeruhi mwanafunzi wa kike

Huyo DC ni mpenda sifa sana na ingekuwa wakati wa Mungu mtu angekwisha kuwa RC lakini chini ya uongozi wa Dr.Samia muda si mrefu atarudi kwa Kusaga kulamba miguu amrudishe Clouds.
 
Hii ni kampeni chafu tuu kutaka kumchafua DC wetu, Simon Simalenga ni mtu muadilifu sana!, itakuwa kuna upigaji anadhibii hapo Songwe, sasa wanamtafutia sababu kwa kumtungia story ya uongo!. Huyu binti sijui analipwa kiasi gani kutunga uongo huu!. Usikute hata hiyo bandeji kuubwa jichoni ni amefungiwa tuu nyumbani, usikute hajaripoti polisi, hana PF3, na bandeji ikitolewa hana jeraha lolote!.
DC Simon Simalenga, wewe endelea kupiga kazi na kazi iendelee, huku kutengenezewa movie kama ile ya Gwajima ni vitu vya kawaida sana!. Kwenye mabadiliko ya ma DC na Ma RC yanayofuata, huyu awe RC!.
P
Kwa namna huyu binti anavyoongea kimachepele kuna kila dalili hili tukio limetengenezwa kumchafua huyo DC, na kuna kundi la watu hapa JF limepangwa kutoa comments mbaya ili huyo DC atumbuliwe.

Nashauri uchunguzi wa kina ufanyike.
 
Kwa namna huyu binti anavyoongea kimachepele kuna kila dalili hili tukio limetengenezwa kumchafua huyo DC, na kuna kundi la watu hapa JF limepangwa kutoa comments mbaya ili huyo DC atumbuliwe.

Nashauri uchunguzi wa kina ufanyike.
Mfano mzuri kabisa wa ma-DC tulionao, baadhi yao ni DC Godwin Gondwe na Jorkate. Wanawaheshimu sana watu. Siyo huyu
 
Kwa namna huyu binti anavyoongea kimachepele kuna kila dalili hili tukio limetengenezwa kumchafua huyo DC, na kuna kundi la watu hapa JF limepangwa kutoa comments mbaya ili huyo DC atumbuliwe.

Nashauri uchunguzi wa kina ufanyike.
Waziri wa Afya na ustawi wa Jamii, Dr. Doroth Gwajima, ameisha tuma kikosi kazi chake cha uchunguzi kufuatilia hili jambo
P
 
amedhibiti mambo mengi Songw,e jamii inaanza kumchafua inakuaje Dc akupige bila sababu au kuna namna ya kutengenezwa hapa
 
Waziri wa Afya na ustawi wa Jamii, Dr. Doroth Gwajima, ameisha tuma kikosi kazi chake cha uchunguzi kufuatilia hili jambo
P
Mkuu Mayalla hicho kikosi kazi Cha Waziri kinafanyaje uchunguzi wakati mtuhumiwa bado Yuko kwa power!!? Don't you think about sabotage!!??
 
Nafasi ya kazi hiyo imeshajirangaza.

Kuna mabishoo wengine bado Kuna mmoja msanii sanii anaitwa kulwa
 
Screenshot_20221206-122847.jpg
Hekima haipo hapo
 
Mkuu wa Wilaya ya Songwe, Simon Simalenga amempiga na kumuumiza jicho mwanafunzi wa kike.

View attachment 2437142
Nilitegemea mtoa habari angeanza kwa kuelezea kisa na mkasa huo. Video haijitoshelezi inaacha maswali mengi mno. e.g. Jukwaani alikwenda kuketi na wenzake walikuwa wakifanya nini pale?
NB: Watoto wa kike (esp.Mabinti waliopevuka) wanavitabia vya ajabu-ajabu (kama kuna mwalimu humu atanielewa zaidi) vyenye kero na huwa hawajali, ni kama vichwani mwao kuna kakiburi, jeuri na dharau fulani vilivyojificha. Huwa wanajifanyia mambo tu kama wanavyojisikia bila hata ya tahadhari. e.g. Huyo mkuu sio mgeni kwake na pengine alishawahi kusikia kwamba huwa ni mkali. Lakini yy kajipeleka tu. Jukwaa bila shaka liliandaliwa kwa kazi maalum lakini wao wakaenda kujikalia hapo kana kwamba ni kwa ajili yao limejengwa pale. Binti anaficha kusema mkuu aliita mara ngapi ndo yy kaamua kujipeleka. Binti anakuza mambo kana kwamba ni mara yake ya kwanza kupigwa/kuadhibiwa kwa kosa la kufanya uzembe. Binti hasemi wakati wa tukio kiongozi wao alikuwa wapi - ina maana yy kawatoroka wenzake kaja kujibanika jukwaani. Stupid girl. Waalimu wake walikuwa wapi?
Kwa maoni yangu nafikiri mkuu labda alichukuwa nafasi kama mzazi kumuonya huyo binti- vinginevyo angeweza kuamuru awekwe chini ya ulinzi kwa masaa kadhaa kitu ambacho kingemuathiri huyo mtoto zaidi. Kulea ni kazi ngumu.
 
Hii ni kampeni chafu tuu kutaka kumchafua DC wetu, Simon Simalenga ni mtu muadilifu sana!, itakuwa kuna upigaji anadhibii hapo Songwe, sasa wanamtafutia sababu kwa kumtungia story ya uongo!. Huyu binti sijui analipwa kiasi gani kutunga uongo huu!. Usikute hata hiyo bandeji kuubwa jichoni ni amefungiwa tuu nyumbani, usikute hajaripoti polisi, hana PF3, na bandeji ikitolewa hana jeraha lolote!.
DC Simon Simalenga, wewe endelea kupiga kazi na kazi iendelee, huku kutengenezewa movie kama ile ya Gwajima ni vitu vya kawaida sana!. Kwenye mabadiliko ya ma DC na Ma RC yanayofuata, huyu awe RC!.
P
Umekuwa mtu wa hovyo sana. Pengine hata ni wa hovyo toka zamani
 
Back
Top Bottom