Uchawa kwenye mitaala it's just a matter of time.Tunako elekea mwanafunzi akichora picha ya raisi kwenye mtihani anafaulu .
Inavutia π
π― %Kwa Tanzania most likely scenario itakuwa kama Zimbabwe.
1 . Demokrasia itazidi sana kudhoofika
2. Rushwa na ubadhirifu utatamalaki kila sekta
3. Viongozi wa Serikali watakuwa watu wasiojali maslahi ya nchi zaidi ya maslahi yao na jamaa zao.
4. Utiifu kwa wanasiasa utakuwa juu ya utiifu wa nchi. Kwa sasa hii hali ipo. Ila itakapofikia level ya Mugabe itakuwa mwisho wa hii jamhuri
Kudadeki zao, hawa wazee ndo wametuharibia nchi, halafu lawama tunapewa sisi vijana.Nashangaa sana vijana wakiitwa wahuni na kwamba wazee ndo wenye busara ilihali me naona wazee ni wahuni zaidi.
Hofu ya kushindwa ni kubwa sana huko chamaniMkuu wa Wilaya ya Tanga Japhar Kubecha akiwa ameambatana na Katibu Tawala wa Wilaya ya Tanga Dalmia Mikaya kwa kushirikiana na Taasisi ya Watoto Foundation wamekabidhi madaftari zaidi ya 1000 katika Shule tatu za msingi kwa Wanafunzi wenye mahitaji maalumu katika Jiji la Tanga.
Akiongea wakati wa kukabidhi madaftari hayo DC Kubecha amesema kuwa dhumuni la kufanya hivyo ni kuunga mkono juhudi za Serikali katika sera ya elimu bila malipo kwa kutoa madaftari yenye picha ya Rais wa Tanzania Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ambayo yatachochea juhudi za Watoto wa kuke kusoma ili kuweza kutimiza ndoto zao..
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Watoto Foundation Ally Pingizi amesema kuwa ugawaji wa madaftari hayo ni harambee ikiwa ni sehemu ya kuhamasisha Watoto kusoma kwa bidi na kuwa na upendo na Rais Samia.
Madaftari hayo yenye picha ya Rais wamegawa bure kwa Shule ya Pongwe, Majani mapana, na Usagara kwa Watoto wenye mahitaji maalumu na wasio jiweza.
Ndo maana Jua ni Kali Sana, tunamtukuza mtu kuliko MUNGU, hakika hii nchi inakoelekea ni kubaya sana, INASIKITISHAMkuu wa Wilaya ya Tanga Japhar Kubecha akiwa ameambatana na Katibu Tawala wa Wilaya ya Tanga Dalmia Mikaya kwa kushirikiana na Taasisi ya Watoto Foundation wamekabidhi madaftari zaidi ya 1000 katika Shule tatu za msingi kwa Wanafunzi wenye mahitaji maalumu katika Jiji la Tanga.
Akiongea wakati wa kukabidhi madaftari hayo DC Kubecha amesema kuwa dhumuni la kufanya hivyo ni kuunga mkono juhudi za Serikali katika sera ya elimu bila malipo kwa kutoa madaftari yenye picha ya Rais wa Tanzania Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ambayo yatachochea juhudi za Watoto wa kuke kusoma ili kuweza kutimiza ndoto zao..
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Watoto Foundation Ally Pingizi amesema kuwa ugawaji wa madaftari hayo ni harambee ikiwa ni sehemu ya kuhamasisha Watoto kusoma kwa bidi na kuwa na upendo na Rais Samia.
Madaftari hayo yenye picha ya Rais wamegawa bure kwa Shule ya Pongwe, Majani mapana, na Usagara kwa Watoto wenye mahitaji maalumu na wasio jiweza.
Bao la mama tayariπ€£Condom za mama tunazisubiri
Bao la mama tayariπ€£Condom za mama tunazisubiri
Wanaangalia usawa wao tuNdo maana Jua ni Kali Sana, tunamtukuza mtu kuliko MUNGU, hakika hii nchi inakoelekea ni kubaya sana, INASIKITISHA
Nimeipenda Hijab ktk pichaMkuu wa Wilaya ya Tanga Japhar Kubecha akiwa ameambatana na Katibu Tawala wa Wilaya ya Tanga Dalmia Mikaya kwa kushirikiana na Taasisi ya Watoto Foundation wamekabidhi madaftari zaidi ya 1000 katika Shule tatu za msingi kwa Wanafunzi wenye mahitaji maalumu katika Jiji la Tanga.
Akiongea wakati wa kukabidhi madaftari hayo DC Kubecha amesema kuwa dhumuni la kufanya hivyo ni kuunga mkono juhudi za Serikali katika sera ya elimu bila malipo kwa kutoa madaftari yenye picha ya Rais wa Tanzania Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ambayo yatachochea juhudi za Watoto wa kuke kusoma ili kuweza kutimiza ndoto zao..
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Watoto Foundation Ally Pingizi amesema kuwa ugawaji wa madaftari hayo ni harambee ikiwa ni sehemu ya kuhamasisha Watoto kusoma kwa bidi na kuwa na upendo na Rais Samia.
Madaftari hayo yenye picha ya Rais wamegawa bure kwa Shule ya Pongwe, Majani mapana, na Usagara kwa Watoto wenye mahitaji maalumu na wasio jiweza.
Sasa kama wanafanya overpricing ya miradi ya ujenzi kiwango hiki kwa nini wasijitajirishe hivyo?Samia ana uchu wa madaraka japo hana uwezo. Yupo kwa ajili ya kutajilisha ukoo wake. Kuna waziri mmoja amenunua nyumba. Apartment, za wachina kwa hela taslimu na ana uhusiano wa kindugu na samia
Na nyie si mugawe peni zenye picha ya Tundu Lissu.Mkuu wa Wilaya ya Tanga Japhar Kubecha akiwa ameambatana na Katibu Tawala wa Wilaya ya Tanga Dalmia Mikaya kwa kushirikiana na Taasisi ya Watoto Foundation wamekabidhi madaftari zaidi ya 1000 katika Shule tatu za msingi kwa Wanafunzi wenye mahitaji maalumu katika Jiji la Tanga.
Akiongea wakati wa kukabidhi madaftari hayo DC Kubecha amesema kuwa dhumuni la kufanya hivyo ni kuunga mkono juhudi za Serikali katika sera ya elimu bila malipo kwa kutoa madaftari yenye picha ya Rais wa Tanzania Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ambayo yatachochea juhudi za Watoto wa kuke kusoma ili kuweza kutimiza ndoto zao..
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Watoto Foundation Ally Pingizi amesema kuwa ugawaji wa madaftari hayo ni harambee ikiwa ni sehemu ya kuhamasisha Watoto kusoma kwa bidi na kuwa na upendo na Rais Samia.
Madaftari hayo yenye picha ya Rais wamegawa bure kwa Shule ya Pongwe, Majani mapana, na Usagara kwa Watoto wenye mahitaji maalumu na wasio jiweza.
It's too much.
Mtaka yote kwa pupa hukosa yote.Kwa trend hii, samia atakosa yote hata oktoba 2025 ataukosa urais.
samia anaonekana anatamaa mbaya sana ya madaraka.
Aisee unajua waswahili wanasema chema chajiuza ila kibaya chajitembeIt's too much.
Mtaka yote kwa pupa hukosa yote.Kwa trend hii, samia atakosa yote hata oktoba 2025 ataukosa urais.
samia anaonekana anatamaa mbaya sana ya madaraka.