Pre GE2025 Mkuu wa Wilaya ya Tanga akabidhi madaftari 1,000 yenye picha ya Rais Samia. Uchawa umefika kwa watoto wetu!

Pre GE2025 Mkuu wa Wilaya ya Tanga akabidhi madaftari 1,000 yenye picha ya Rais Samia. Uchawa umefika kwa watoto wetu!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hawa wapumbavu sijui hawapelekwi workshop ya uongozi, hebu ona huyo hajui wapi anaenda kwa shughuli za kichama au serikali mpaka imekuwa kama sare rasmi kuvaa kofia zilizoandikwa SSH bila kujua wapi zinatakiwa kuvaliwa na wapi wasivae.

Taifa la wapumbavu ni msiba wa kesho mama hivi mama vile utadhani hawana mama zao nyumbani.
images - 2025-02-22T071735.034.jpeg
 
Kwa Tanzania most likely scenario itakuwa kama Zimbabwe.
1 . Demokrasia itazidi sana kudhoofika
2. Rushwa na ubadhirifu utatamalaki kila sekta
3. Viongozi wa Serikali watakuwa watu wasiojali maslahi ya nchi zaidi ya maslahi yao na jamaa zao.
4. Utiifu kwa wanasiasa utakuwa juu ya utiifu wa nchi. Kwa sasa hii hali ipo. Ila itakapofikia level ya Mugabe itakuwa mwisho wa hii jamhuri
💯 %
 
Nashangaa sana vijana wakiitwa wahuni na kwamba wazee ndo wenye busara ilihali me naona wazee ni wahuni zaidi.
Kudadeki zao, hawa wazee ndo wametuharibia nchi, halafu lawama tunapewa sisi vijana.

Akati tumekuta nchi imejaa upupu mtupu.
Mkuu weka threads, ya nani muhuni kati ya 2000s na 1900s

Utaona wazee wengi walikuwa wahuni majambz, na matapeli sana enzi zao
(Kumradhi nimetumia Lugha ya ukali kidogo)
 
Hofu ya
Mkuu wa Wilaya ya Tanga Japhar Kubecha akiwa ameambatana na Katibu Tawala wa Wilaya ya Tanga Dalmia Mikaya kwa kushirikiana na Taasisi ya Watoto Foundation wamekabidhi madaftari zaidi ya 1000 katika Shule tatu za msingi kwa Wanafunzi wenye mahitaji maalumu katika Jiji la Tanga.

Akiongea wakati wa kukabidhi madaftari hayo DC Kubecha amesema kuwa dhumuni la kufanya hivyo ni kuunga mkono juhudi za Serikali katika sera ya elimu bila malipo kwa kutoa madaftari yenye picha ya Rais wa Tanzania Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ambayo yatachochea juhudi za Watoto wa kuke kusoma ili kuweza kutimiza ndoto zao..

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Watoto Foundation Ally Pingizi amesema kuwa ugawaji wa madaftari hayo ni harambee ikiwa ni sehemu ya kuhamasisha Watoto kusoma kwa bidi na kuwa na upendo na Rais Samia.

Madaftari hayo yenye picha ya Rais wamegawa bure kwa Shule ya Pongwe, Majani mapana, na Usagara kwa Watoto wenye mahitaji maalumu na wasio jiweza.

Hofu ya kushindwa ni kubwa sana huko chamani
 
Mkuu wa Wilaya ya Tanga Japhar Kubecha akiwa ameambatana na Katibu Tawala wa Wilaya ya Tanga Dalmia Mikaya kwa kushirikiana na Taasisi ya Watoto Foundation wamekabidhi madaftari zaidi ya 1000 katika Shule tatu za msingi kwa Wanafunzi wenye mahitaji maalumu katika Jiji la Tanga.

Akiongea wakati wa kukabidhi madaftari hayo DC Kubecha amesema kuwa dhumuni la kufanya hivyo ni kuunga mkono juhudi za Serikali katika sera ya elimu bila malipo kwa kutoa madaftari yenye picha ya Rais wa Tanzania Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ambayo yatachochea juhudi za Watoto wa kuke kusoma ili kuweza kutimiza ndoto zao..

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Watoto Foundation Ally Pingizi amesema kuwa ugawaji wa madaftari hayo ni harambee ikiwa ni sehemu ya kuhamasisha Watoto kusoma kwa bidi na kuwa na upendo na Rais Samia.

Madaftari hayo yenye picha ya Rais wamegawa bure kwa Shule ya Pongwe, Majani mapana, na Usagara kwa Watoto wenye mahitaji maalumu na wasio jiweza.

Ndo maana Jua ni Kali Sana, tunamtukuza mtu kuliko MUNGU, hakika hii nchi inakoelekea ni kubaya sana, INASIKITISHA
 
Mkuu wa Wilaya ya Tanga Japhar Kubecha akiwa ameambatana na Katibu Tawala wa Wilaya ya Tanga Dalmia Mikaya kwa kushirikiana na Taasisi ya Watoto Foundation wamekabidhi madaftari zaidi ya 1000 katika Shule tatu za msingi kwa Wanafunzi wenye mahitaji maalumu katika Jiji la Tanga.

Akiongea wakati wa kukabidhi madaftari hayo DC Kubecha amesema kuwa dhumuni la kufanya hivyo ni kuunga mkono juhudi za Serikali katika sera ya elimu bila malipo kwa kutoa madaftari yenye picha ya Rais wa Tanzania Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ambayo yatachochea juhudi za Watoto wa kuke kusoma ili kuweza kutimiza ndoto zao..

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Watoto Foundation Ally Pingizi amesema kuwa ugawaji wa madaftari hayo ni harambee ikiwa ni sehemu ya kuhamasisha Watoto kusoma kwa bidi na kuwa na upendo na Rais Samia.

Madaftari hayo yenye picha ya Rais wamegawa bure kwa Shule ya Pongwe, Majani mapana, na Usagara kwa Watoto wenye mahitaji maalumu na wasio jiweza.

Nimeipenda Hijab ktk picha
 
Kwani alieleta madaftari ni mkuu wa wilaya au Watoto Foundation ?
Unaweza kuta hapo mkuu wa wilaya kaalikwa tu
Samia Raisi,2025
2025,tupo na Mama
 
Sasa hivi ni mwendo wa kulazimisha ngamia kupenya ndani ya tundu la sindano! Hakubaliki ndani na nje ya Chama.
 
Yana mwisho ingawa siku wala muda ujajulikana
 
Samia ana uchu wa madaraka japo hana uwezo. Yupo kwa ajili ya kutajilisha ukoo wake. Kuna waziri mmoja amenunua nyumba. Apartment, za wachina kwa hela taslimu na ana uhusiano wa kindugu na samia
Sasa kama wanafanya overpricing ya miradi ya ujenzi kiwango hiki kwa nini wasijitajirishe hivyo?
 
Mkuu wa Wilaya ya Tanga Japhar Kubecha akiwa ameambatana na Katibu Tawala wa Wilaya ya Tanga Dalmia Mikaya kwa kushirikiana na Taasisi ya Watoto Foundation wamekabidhi madaftari zaidi ya 1000 katika Shule tatu za msingi kwa Wanafunzi wenye mahitaji maalumu katika Jiji la Tanga.

Akiongea wakati wa kukabidhi madaftari hayo DC Kubecha amesema kuwa dhumuni la kufanya hivyo ni kuunga mkono juhudi za Serikali katika sera ya elimu bila malipo kwa kutoa madaftari yenye picha ya Rais wa Tanzania Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ambayo yatachochea juhudi za Watoto wa kuke kusoma ili kuweza kutimiza ndoto zao..

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Watoto Foundation Ally Pingizi amesema kuwa ugawaji wa madaftari hayo ni harambee ikiwa ni sehemu ya kuhamasisha Watoto kusoma kwa bidi na kuwa na upendo na Rais Samia.

Madaftari hayo yenye picha ya Rais wamegawa bure kwa Shule ya Pongwe, Majani mapana, na Usagara kwa Watoto wenye mahitaji maalumu na wasio jiweza.

Na nyie si mugawe peni zenye picha ya Tundu Lissu.

Malalamiko Kila kukicha!!!.
 
Ila hawachelewi kusema wapinzani ndio waroho wa madaraka
It's too much.

Mtaka yote kwa pupa hukosa yote.Kwa trend hii, samia atakosa yote hata oktoba 2025 ataukosa urais.

samia anaonekana anatamaa mbaya sana ya madaraka.
 
It's too much.

Mtaka yote kwa pupa hukosa yote.Kwa trend hii, samia atakosa yote hata oktoba 2025 ataukosa urais.

samia anaonekana anatamaa mbaya sana ya madaraka.
Aisee unajua waswahili wanasema chema chajiuza ila kibaya chajitembe
 
Back
Top Bottom