Pre GE2025 Mkuu wa Wilaya ya Tanga akabidhi madaftari 1,000 yenye picha ya Rais Samia. Uchawa umefika kwa watoto wetu!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
JPM alikuwa haitaji haya mambo ufanisi wake wa kazi ulikuwa inajieleza wazi, Yan ilifika hatua upinzani kulikuwa na hoja ya udikiteta tu
 
Baada ya kugawa pikipiki nchi nzima, sasa hivi wanagawa madaftari ya mama huko mashuleni. Kwanini haya madaftari yaje mwaka huu 2025? Tunawafundisha nini watoto wetu?
 
Kumbe Ile tetesi ya kumuweka kwenye pesa ilikuwa kweli kwa hii miangaiko

Watoto wenyewe hawataki kusikia kuhusu Samia, tatizo Samia hafanyi field analysis!!

Watoto wengi nchi hii wanampenda Sana Jk,na Hatari Magufuli
 
Nchi ina mambo ya kipuuzi puuzi... Hatutoendelea kamwe kwa ujinga huu
 
Haina shida mbona hata mbowe alitoa posho na nauli kwa wajumbe na hatujamchagua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…