Pre GE2025 Mkuu wa Wilaya ya Tanga akabidhi madaftari 1,000 yenye picha ya Rais Samia. Uchawa umefika kwa watoto wetu!

Pre GE2025 Mkuu wa Wilaya ya Tanga akabidhi madaftari 1,000 yenye picha ya Rais Samia. Uchawa umefika kwa watoto wetu!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hawa wapumbavu sijui hawapelekwi workshop ya uongozi, hebu ona huyo hajui wapi anaenda kwa shughuli za kichama au serikali mpaka imekuwa kama sare rasmi kuvaa kofia zilizoandikwa SSH bila kujua wapi zinatakiwa kuvaliwa na wapi wasivae.

Taifa la wapumbavu ni msiba wa kesho mama hivi mama vile utadhani hawana mama zao nyumbani.
View attachment 3245183
Afanaleek duh! Kama kachinja kuku kwa mdomp
 
Mkuu wa Wilaya ya Tanga Japhar Kubecha akiwa ameambatana na Katibu Tawala wa Wilaya ya Tanga Dalmia Mikaya kwa kushirikiana na Taasisi ya Watoto Foundation wamekabidhi madaftari zaidi ya 1000 katika Shule tatu za msingi kwa Wanafunzi wenye mahitaji maalumu katika Jiji la Tanga.

Akiongea wakati wa kukabidhi madaftari hayo DC Kubecha amesema kuwa dhumuni la kufanya hivyo ni kuunga mkono juhudi za Serikali katika sera ya elimu bila malipo kwa kutoa madaftari yenye picha ya Rais wa Tanzania Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ambayo yatachochea juhudi za Watoto wa kuke kusoma ili kuweza kutimiza ndoto zao..

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Watoto Foundation Ally Pingizi amesema kuwa ugawaji wa madaftari hayo ni harambee ikiwa ni sehemu ya kuhamasisha Watoto kusoma kwa bidi na kuwa na upendo na Rais Samia.

Madaftari hayo yenye picha ya Rais wamegawa bure kwa Shule ya Pongwe, Majani mapana, na Usagara kwa Watoto wenye mahitaji maalumu na wasio jiweza.

Hata DRC ilianza hivi hivi uchawa kwa Mobotu, ile mbegu ikamea na kukomaa leo hii kitu uzalendo kwa Wacongo hakipo hadi askari wa jeshi la Congo wanakimbia uwanja wa mapambano wanavua kombati na kujichanganya na raia.Sasa hivi maccm wamekuwa misukule ya Samia kabisa.
 
Mkuu wa Wilaya ya Tanga Japhar Kubecha akiwa ameambatana na Katibu Tawala wa Wilaya ya Tanga Dalmia Mikaya kwa kushirikiana na Taasisi ya Watoto Foundation wamekabidhi madaftari zaidi ya 1000 katika Shule tatu za msingi kwa Wanafunzi wenye mahitaji maalumu katika Jiji la Tanga.

Akiongea wakati wa kukabidhi madaftari hayo DC Kubecha amesema kuwa dhumuni la kufanya hivyo ni kuunga mkono juhudi za Serikali katika sera ya elimu bila malipo kwa kutoa madaftari yenye picha ya Rais wa Tanzania Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ambayo yatachochea juhudi za Watoto wa kuke kusoma ili kuweza kutimiza ndoto zao..

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Watoto Foundation Ally Pingizi amesema kuwa ugawaji wa madaftari hayo ni harambee ikiwa ni sehemu ya kuhamasisha Watoto kusoma kwa bidi na kuwa na upendo na Rais Samia.

Madaftari hayo yenye picha ya Rais wamegawa bure kwa Shule ya Pongwe, Majani mapana, na Usagara kwa Watoto wenye mahitaji maalumu na wasio jiweza.

Machawa hadi aibuuuuu
 
Ukiona kiongozi anaendekeza sifa za kijinga na kukumbatia machawa jua huyo ni zero brain!.
Kwake la muhimu ni kuwa kiongozi ila maono ni sifuri!!.
 
It's too much.

Mtaka yote kwa pupa hukosa yote.Kwa trend hii, samia atakosa yote hata oktoba 2025 ataukosa urais.

samia anaonekana anatamaa mbaya sana ya madaraka.
Sijui kuna nini anataka kwenda kukifanya and/or kukificha?..sio kwa SHAUKU na TAMAA hii!
 
Mkuu wa Wilaya ya Tanga Japhar Kubecha akiwa ameambatana na Katibu Tawala wa Wilaya ya Tanga Dalmia Mikaya kwa kushirikiana na Taasisi ya Watoto Foundation wamekabidhi madaftari zaidi ya 1000 katika Shule tatu za msingi kwa Wanafunzi wenye mahitaji maalumu katika Jiji la Tanga.

Akiongea wakati wa kukabidhi madaftari hayo DC Kubecha amesema kuwa dhumuni la kufanya hivyo ni kuunga mkono juhudi za Serikali katika sera ya elimu bila malipo kwa kutoa madaftari yenye picha ya Rais wa Tanzania Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ambayo yatachochea juhudi za Watoto wa kuke kusoma ili kuweza kutimiza ndoto zao..

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Watoto Foundation Ally Pingizi amesema kuwa ugawaji wa madaftari hayo ni harambee ikiwa ni sehemu ya kuhamasisha Watoto kusoma kwa bidi na kuwa na upendo na Rais Samia.

Madaftari hayo yenye picha ya Rais wamegawa bure kwa Shule ya Pongwe, Majani mapana, na Usagara kwa Watoto wenye mahitaji maalumu na wasio jiweza.

Tunachukua nafasi ya Urusi na tunaikaribia Korea ya Kaskazini
 
It's too much.

Mtaka yote kwa pupa hukosa yote.Kwa trend hii, samia atakosa yote hata oktoba 2025 ataukosa urais.

samia anaonekana anatamaa mbaya sana ya madaraka.
Uchaguzi wa jf ,x, ndio Samia anaweza kukosa urais
 
Mi sidhani hata kama anajua. Kuna vitu nadhani hata yeye anaona mitandaoni kama sisi au anaambiwa vikishakamilika.

Sidhani kama Rais atakuwa na muda wa kuhangaika na madaftari. Siwezi kumlaumu kabisa kwenye hili.

Hawa ni chawa ndo wanafanya haya mambo
Kama anaakili timamu angezuia huu ujinga tangu mwanzo lakini kwa kuwa mwanamke hupenda sifa anaona sawa tuu wacha waendelee
 
Back
Top Bottom