Mkuyu ni Mti gani?

Nilisikia unaitwa fig kwa kiingereza. Na hayo matunda yake, makuyu ndiyo tini za figs au tini kama zinavyoitwa kwa bible.
 
Asante Kwa picha mkuu
Tumekujua kumbe ndio upo hivyo
Aaaaagh sawa
Mkuyu ni mbuyu uliozeeka
Ndio mawazo yangu yanavyonitumaga

Anyway ongeza picha!
 
Mkuu hizo mvi kwenye kidevu na kichwani, ni zile za kupaka rangi, au ni za ukweli kama hizi za kwangu?

Halafu mbona unaonekana kama Mkuda fulani vile!! Au ni macho yangu?
Ahahh,umenichekesha mkuu,eti anaonekana mtu mkuda mkuda fulani, huyo jamaa kweli atakuwa dizaini ya wale watu wakuda wakuda kimuonekano tu(body laungage)
 
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
 
mingine hurefuka sana na kwenda juu,bila tawi lolote.
 
 
Wewe ndio zakayo Hapo kwenye mkuyu?[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Uongo kazi.

Nimewahi kuona ua la mbuyu.

Mpaka sasa naendesha maisha kwa mikopo ya benki na nipige tafu
Mbuyu ni tofauti na mkuyu,we umeona mbuyu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…