Mkuyu ni Mti gani?

Popote utakapo uona mti wa Mkuyu umeota basi jua kuwa eneo hilo lina UHAI kwa kila aina ya kiumbe.
 
Mimi najua huu ndo mkuyu. Utomvu wake ni dawa ya mapunye ya kichwani.
 
Hapo kuna mkuyu na mrumba ...acha wataalam wakwambie which is which
 
Habari, nimekata mti jamii ya mkuyu kwa sababu ya kuendeleza ujenzi hivyo ulikuwa unaziba space. Anaeweza kununua magogo yake tuwasiliane 0713748763
 
Huo ndio mkuyati mizizi yake ndo inatoa vumbi la kongo
 
Mkuu hizo mvi kwenye kidevu na kichwani, ni zile za kupaka rangi, au ni za ukweli kama hizi za kwangu?

Halafu mbona unaonekana kama Mkuda fulani vile!! Au ni macho yangu?
Huyo jamaa ni mtu poa sana, anaitwa Gordian Gradus Anduru Agoro ( marehemu baba yake alikuwa mwandishi maarufu sana)
 
Mkuu hizo mvi kwenye kidevu na kichwani, ni zile za kupaka rangi, au ni za ukweli kama hizi za kwangu?

Halafu mbona unaonekana kama Mkuda fulani vile!! Au ni macho yangu?
Anafanania na polisi mkuda akikukamata atakungangania hutoki hata kidogo!.....anafanania fani ya uandishi wa kitafiti
 
Mkuu hizo mvi kwenye kidevu na kichwani, ni zile za kupaka rangi, au ni za ukweli kama hizi za kwangu?

Halafu mbona unaonekana kama Mkuda fulani vile!! Au ni macho yangu?
huyo jamaa ni mtu poa sana. Nilikutana naye mujibu 842kj mafinga . hizo harakati za ubudha anazo sana. But he is so kind.
 
Huyo jamaa ni mtu poa sana, anaitwa Gordian Gradus Anduru Agoro ( marehemu baba yake alikuwa mwandishi maarufu sana)
kaka ukishaingia humu kwa jina la kweli basi ukubaliane na kadhia zitokanazo na uhuru wa maoni
 
umefanya niache kuangalia mkuyenge nikuangalie wewe

N way.. umependeza,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…