Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiongozwe na mahaba. Hakuna wachezaji hapo, tajiri kakusanya takataka kazijaza msimbazi🚮 unaongea kama kichaa.
Boss kunakitu umekaliaSiyo wachezaji wa kiwango na matamanio ya Simba SC. Wana makosa ya kitoto sana na hawana maajabu uwanjani
Ni takataka kabisa
Itakuwa ni aibu. Yaani hata kwa coastal union Simba inatumia nguvu na ujuzi wao wote? Wachezaji wanapepesuka tu, halafu maarifa sifuri.Sioni Simba iliyotarajiwa, hawa Coast wanatupeleka mputa sana, sipati picha tutakapokutana na Azam hali itakuwaje
Hawa wachezaji Wana vipaji kabisa sasa sioni kwani hakuna improvement badala yake tunaona deterioration kadri siku zinavyoenda. Bado wachezaji hawana kiu, makosa madogo yasiyotarajiwa ni mengi mno. Sijui nani aliyewaambia kuna mechi ndogo.Sioni Simba iliyotarajiwa, hawa Coast wanatupeleka mputa sana, sipati picha tutakapokutana na Azam hali itakuwaje
Hujui mpira, nenda kacheze draft au dhumna. Msituchoshe hapa na nyuzi za hovyo.Siyo wachezaji wa kiwango na matamanio ya Simba SC. Wana makosa ya kitoto sana na hawana maajabu uwanjani
Ni takataka kabisa
Amekalia ukuni aka mjegeje. Siyo bureBoss kunakitu umekalia
Wenye kukosa uelewa wa mpira ndiyo pekee wanaweza kuidhaeau coast na kuandika "hata coast"Itakuwa ni aibu. Yaani hata kwa coastal union Simba intaumia nguvu na ujuzi wao wote? Wachezaji wanapepesuka tu, halafu maarifa sifuri.
Wewe unajua kula tu, kaa kimya.Hujui mpira, nenda kacheze draft au dhumna. Msituchoshe hapa na nyuzi za hovyo.
Ubora wa wachezaji unapimwa na uvhache wa makosa ya kitoto. Tatizo unaendeshwa na mahaba ya timu. Simba ni kimeoMishabiki mingine bana...kama ni rahisi basi kusingekua na maana ya mashindano..
Nipe makosa gani?? Unaona costal wanavyojaa pale golini??Ubora wa wachezaji unapimwa na uvhache wa makosa ya kitoto. Tatizo unaendeshwa na mahaba ya timu. Simba ni kimeo
Shida ya simba kikosi hiki ni kukosa kiongozi ila timu inatia moyo bwana ni vile kuna mashabiki wanataka mtoto azaliwe leo aongee,akae,asimame na kutembea leo leo.Mishabiki mingine bana...kama ni rahisi basi kusingekua na maana ya mashindano..