Mkwala, Debora na Ahoua ni wabovu, waondoke.

Mkwala, Debora na Ahoua ni wabovu, waondoke.

Sioni Simba iliyotarajiwa, hawa Coast wanatupeleka mputa sana, sipati picha tutakapokutana na Azam hali itakuwaje
Ni uchovu baada ya Derby. Energy iko chini. Ila Mukwala hawezi kuwa chaguo la kwanza pale mbele, labda chaguo la pili. Mo hana budi kurudi sokoni alete kifaa hasa.

Simba inatengeneza nafasi nyingi, jinsi ya kuzitumia ndiyo tatizo. Tatizo la misimu kadhaa sasa bado linaendelea
 
Simba sasa imeimarika wanacheza tacticalfootbal inapendeza sana wanaelewana mno ukizingatia hata pale wanapipokonywa mpira , wanatafta wa bidii zote.
Saafu ya umaliziaji yupo king Mukwala hapa nikuweka tu WAAAH.

Kiungo kinasimika kwelkwel Mutale anatia pressure haswa,. Beki zinapoteana.

FADLU ni mfano wa kuigwa kwa ishu ya COACHING, anacheza kama CITY vile .

Hii Simba naiona mbali mnoo.
 
Amekalia ukuni aka mjegeje. Siyo bure
Kwa namna kipindi Cha kwanza walivyo cheza Simba hii ya kipindi Cha kwanza Ina achwa mbali Sana na Simba iliyo malizia msimu bila wachezaji wake nyota wengi kutokuwepo uwanjani.

Hii inaonyesha Refa Heri Sasi alifanya kazi kubwa Sana katika mechi iliyopita kwa kuibeba Simba.
 
Ubora wa wachezaji unapimwa na uvhache wa makosa ya kitoto. Tatizo unaendeshwa na mahaba ya timu. Simba ni kimeo
Kwa hiyo Coastal Union mnaiona kama timu ya UMISETA vile?? Yaani mlitaka sasa hivi goals ziwe 5-0 ?? Mashabiki wa nailoni nyinyi. Pita kule
 
Anaeniboa ni karabaka kashafunga badala ampe Mkwala yupo karibu yy anabutua tuu..
 
Sioni Simba iliyotarajiwa, hawa Coast wanatupeleka mputa sana, sipati picha tutakapokutana na Azam hali itakuwaje
Hivi tunaangalia gemu tofauti? Nilichokiona coast wamebanwa kila angle, isipokuwa Simba inashindwa kumalizia eneo la mwisho la coast. Nasapoti mukwala hatufai, ahoua na Debora wajirekebishe.
 
Wenye kukosa uelewa wa mpira ndiyo pekee wanaweza kuidhaeau coast na kuandika "hata coast"
Tulitegemea kuona kitu bora zaidi ya kile kilichofanywa na Azam. Simba kuwa na kagoli kamoja ,tena ka papatu papatu dhidi ya timu dhaifu kama Coastal union, ni aibu kubwa sana.
 
Angalia hiki kichwa alichopiga huyu mchezaji wa Coastal. Shabalala anaenda kukaba, mchezaji wa Coastal anakimbia kushuka chini, mchezaji wa Simba anamshangaa tu, matokeo yake inapigwa pasi ya nyuma na kupigwa krosi safi. Wachezaji wajifunze kwa utopolo. Mara kibao akina Max, Pacome na Ki Aziz wanarudi haraka na kuokoa. Team work is all about.
 
Wenye kukosa uelewa wa mpira ndiyo pekee wanaweza kuidhaeau coast na kuandika "hata coast"
Coastal wamefanya makosa mengi sana, pasi zao zimekuwa mbovu, beki zao zinakosa umakini lakini Simba imeshindwa kutumia udhaifu wa Coastal
 
Simba watarekebisha ni suala la muda kidogo na pia kocha awe mwepesi kuchezesha wachezaji kwa viwango na kutosahau maeneo yao katika uchezaji. Kila la kheri Simba
 
Nipe makosa gani?? Unaona costal wanavyojaa pale golini??
Mkwala kafika mara 2 yeye na goli kipa lkn hafungi, huyo Ahoua na Debora wanapiga piga hovyo tu mipira kuelekea golini
 
Simba watarekebisha ni suala la muda kidogo na pia kocha awe mwepesi kuchezesha wachezaji kwa viwango na kutosahau maeneo yao katika uchezaji. Kila la kheri Simba
Kijana wenu Mutale (SGR);afundishwe awe ana achia pasi kwa haraka, Hakuna haja ya kukimbia na mpira.

Mpira unakimbia zaidi kuliko yeye anatakiwa autume mpira na si kukimbia nao muda wote.
 
Mkwala kafika mara 2 yeye na goli kipa lkn hafungi, huyo Ahoua na Debora wanapiga piga hovyo tu mipira kuelekea golini
Huyo Mkwala kila akiwa anapiga mpira kuna mtu anamuintarapt kwa kumgusa mguu...hebu angalia mpira acha mihemuko...angalia vzr pale kwanini alikosa magoli...
 
Back
Top Bottom